Ahsante sanaHebu mcheki instagram jmaaa mmoja anajiita kilakara used spare parts unaweza kufanikisha. Kupanga ni kuchagua mtu anawekeza kibunda chote hicho kwenue shimo amabalo hawezi kulijaza milele yote.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
naomba nikununulie shamba tukadinyanye huko shamba nipata ushuhuda wako
kwaiyo kuna wakati ukienda saiti au shamba na mwenzako mnaweza kupata cha fastaπ inaruhusiwa kabisa kitalaamu
Halafu Bibi harusi ndio atarithi Mali?H
ahahha!ila muache tu..huenda wameridhia kama familia..sema kama ameshndwa hata kuamka kweny kiti sidhan kama ana muda mrefu wa ku survive!!!
Duh! wakubwa wanafaidi kama nakuona unavyojikunja upate kitu roho inapendaπRhuksa kama hubbies cha mtu...π.
Duh! wakubwa wanafaidi kama nakuona unavyojikunja upate kitu roho inapendaπ
umenikumbusha mbali sana sikonge π₯±Wanyamwezi hawakunji, wanafinyanga....!!
umenikumbusha mbali sana sikonge π₯±
wanyamwezi wazuri...Eennheee...... nasikiliza kwa makini....
wanyamwezi wazuri...
alikua mrefu amejaa lakini sio ka gunia, kiuno, kalio, hips na guu kila kitu kwa mpangilio..
ana sura flani ya upole, akiwa ana lia kwa kisikilizia utamu wa bakora napandisha mzuka wa kimasai...
Dah!, Tabora raha nitarudi sikonge sio kutembea ila nitafuata tunu niliyoiacha niachane na mawe, kama kujenga nyumba bora niende taboraπ€
kuna wakati hakuna namna lazima nisema tu, wenye wivu wanywe sumu nitafika kwa kina kalunde kufikisha salamu lakini nikienda sina uhakika wa kurudiAahahahahhaaa punguza sauti....
Kuna watapata wivu tuu kwa maneno yako...
Kuna watasema una exaggerate....
Ukirudi Tabora msalimie Kalunde.
kuna wakati hakuna namna lazima nisema tu, wenye wivu wanywe sumu nitafika kwa kina kalunde kufikisha salamu lakini nikienda sina uhakika wa kurudi
ndio natamani hayo mambo ya ndani ndani ya wanyamwezi, sio niyasikie ila niyaone na niyaishi nikiwa sikongeBaba yeyooo..... π€©π€©π€©
Itakuwa ulisingwa na uji wa vuguvugu wa karanga na asali wewe....π π
Kama hujasingwa na hiyo kitu na huna hakika kama utarudi ulikotoka, siku ukisingwa nayo wallah sio tuu hautorudi ulikotoka....
Ni zaidi ya mwambao..π
Kila la kheri ufikapo Sikonge.
ndio natamani hayo mambo ya ndani ndani ya wanyamwezi, sio niyasikie ila niyaone na niyaishi nikiwa sikonge
nakuja tabora hakuna jinsi, moyo nimeshampatia nadhani hata akili yangu itatulia tuππ kwa hitaji la moyo wako, umefika mahala salama.
Tegemea utulivu wa nafsi, akili na moyo na hivyo kuwa na mwanya wa kufanya mambo mengine ya maendeleo bila kuvurugwa na mapenzi....
Shurti kubwa, kila ukaribishwapo chakula usiseme nimeshiba hata kama umeshiba. Kula kidogo kidogo hata ukibakisha sawa kuliko kutokula kabisa...
Ila uwe imara kwelikweli... mzigo sio mwepesi unaouendea...ππ na haupoooiii...πππ.
Asshenalleh...
nakuja tabora hakuna jinsi, moyo nimeshampatia nadhani hata akili yangu itatulia tu
kwenye chakula hata kwetu kyela ukikaribishwa chakula hautakiwi kusema umeshiba ukarimu ndio asili ya mtanzania...
Niko vizuri kubeba zigo, wakurugwa wanasema lazima nisimamie kucha mpaka mtoto afike kilimani kwa jasho na chozi lenye raha na utamu π€Έπ€Έ
ndaga phijoh!Aahahahahahah mkikolo, ughonile...
Ndaga ndaga phijoo π π
Eeeh kumbe ni shemeji Mwaisa...π π naloolii...aahahahahaaa.
Kasie Matata π