Nimempa mwanamke wangu mchongo wa kuingiza elfu 50 kila siku na bado ananiomba hela za matumizi

Nimempa mwanamke wangu mchongo wa kuingiza elfu 50 kila siku na bado ananiomba hela za matumizi

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Naona mahusiano haya yatanishinda, asubuhi kaamka anataka nimtumie hela anunue gesi, mchana kanitumia meseji tena anataka nimsaidie kulipa ada ya chuo saa hizi anataka hela ya kwenda kusuka

Nimewaza na kuwazua sijamuelewa ikiwa kazi anafanya ya serikali na kuna mchongo nimemconnectia anapiga elfu 50 kila siku hata kama yupo nyumbani kalala. Wanawake wengine ni vichwa maji kwelikweli. yamenishinda
 
mueleze mwenyewe mkuu kuwa 'it's over' kama tu una huo ujasiri, sisi hatutakuwa na cha kukusaidia hapa ndugu yetu zaidi ya kukusimanga...

Ifike pahala muache kuwa keyboard warriors, you have to deal with your people, kuja kulalamika humu kuhusu kila jambo dogo mnalokutana nalo kwenye mahusiano yenu halifanyi ninyi muonekane wema na wanawake wenu waovu, zaidi sana mnajenga picha ya kuonekana ninyi ndiyo dhaifu..!!
 
Naona mahusiano haya yatanishinda, asubuhi kaamka anataka nimtumie hela anunue gesi, mchana kanitumia meseji tena anataka nimsaidie kulipa ada ya chuo saa hizi anataka hela ya kwenda kusuka nimewaza na kuwazua sijamuelewa ikiwa kazi anafanya ya serikali na kuna mchongo nimemconnectia anapiga elfu 50 kila siku hata kama yupo nyumbani kalala. Wanawake wengine ni vichwa maji kwelikweli. yamenishinda
Anachotaka ni hela yako, si hela.
 
mueleze mwenyewe mkuu kuwa 'it's over' kama tu una huo ujasiri, sisi hatutakuwa na cha kukusaidia hapa ndugu yetu zaidi ya kukusimanga...

Ifike pahala muache kuwa keyboard warriors, you have to deal with your people, kuja kulalamika humu kuhusu kila jambo dogo mnalokutana nalo kwenye mahusiano yenu halifanyi ninyi muonekane wema na wanawake wenu waovu, zaidi sana mnajenga picha ya kuonekana ninyi ndiyo dhaifu..!!
Mwendo wa kupiga spanaa
 
Na wewe muombe pesa ya kuongezea glass ya kilaji au chochote kile...., Mbona simple tu..., Unless una printer ya kufyatua Pesa kama wote ni watafutaji basi mmoja akipigika anamuomba partner wake...
 
Back
Top Bottom