Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoaxer huu ushauri ni 100% unampiga chini mahakamani bila kupepesa macho na uchukue kama ulivyo uufanyie kazi.Mpangishie chumba huyo dada mbadilidhie namba ya simu na mkienda mahakamani unakataa macho makavu kuwa hujawahi kulala na huyo binti
Basi ni wengi sana. Hapo unazungumzia 90% ya wanaume duniani, wengi wako hivyoMwanadamu anayeendeshwa na matamanio yake ni sawa mnyama wa porini na huyo ni mpungufu wa akili........
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Huu ndio ushauri pekee wa maana mkuu asipoufanyia kazi basiHoaxer huu ushauri ni 100% unampiga chini mahakamani bila kupepesa macho na uchukue kama ulivyo uufanyie kazi.
Ipo hivi
Ili aweze kuithibitishia mahakama kuwa wewe ndie umempa mimba binti ni lazima kuwe na ushahidi usiotia shaka. Ni kwamba wewe ukubali au mkeo atoe ushahidi huo.
Wewe pambana kupoteza ushahidi bila kutenda makosa na dhambi. Maana yangu bila kutenda makosa na dhambi ni hii, usitoe mimba wala kuua binti wa kazi. Rudi kwa ushauri wa huyo ndugu. Ongea na binti umpoteze kwa kumpangia nyumba mbali na kumhudumia na baada ya hapo utunze mtoto wako au kuoa kabisa awe mke wa pili. Badili mawasiliano yake na asijethubutu kufika mahakamani au mabaraza ya usuluhishi.
Siku ukienda mahakamani kuitika wito. Kataa mwanaume. Sema SIJUI na sijawahi hata kumtamani. Baada ya hapo mkeo atatakiwa alete ushahidi na shahidi namba moja ni huyo mkeo aliyekuwa house girl hapo zamani. Sasa kwa vile wewe umeshampangishia nyumba, ondoka, nenda kule ulipompngishia na kabla ya kumpa mrejesho wa kilichojiri mahakamani, endelezeni uumbaji baada ya hapo mpatie mrejesho. Sas kule amekunyima na hause girl umeshamla si bora uendelee tu.
Kwa maana hiyo sasa, ushahidi hautakuwepo na kesi itakuwa dismissed kwa kukosa ushahidi.
Je Mahakama ikisema uondoke utafanyaje!!?Ninao ila mke wangu hawezi kuniambia niondoke kwenye nyumba yangu labda niamue mwenyewe.
Awe backup kwa mkeNatafta housegirl awe na kashepu kidogo
Wakishaona mbele kidogo mibichwa inakuwa kama gari aina ya Pigeout. Nina ndugu yangu wakati watt wake wanasoma huyo mama alikuwa mpole ofcause yeye na mumewe ni washika dini walutherani. Bas wakawa wanaenda kwa mwakasege wanaomba watu wawaombee anaeleza jinsi anahofu amelipia wanae mamilioni Tusiime.Sasa hapa ndio umeongea. Ebu wape elimu hao wanawake wasiojua kuwa wake ndani ya nyumba zao[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Wewe unahisi ataishi kwa amani hiyo nyumba bro hujiongezi ukishalikologa linywe siku akimkumbuka atamtafuta.Aondoke wakati wamejenga wote.
Heshima iko wapi hapo Mkuu?Kwani ukimpatia binti mimba ndio unakuwa hujamheshimu?
Deep down huyo mkeo alikuwa hakupendi, kweli kabisa usinibishie niamini mimi. Hivyo alikuwa anakutafutia angle thita na umejaa mwenyewe. Ni mda sasa wa yy kukufukuzia mbali yeye abaki anafaidi mali mlizochuma. Pamoja na kwamba wewe unamakosa ila mkeo ni katibu wa shetani. Ndio wale mnaowaita hapa kila siku sijui mafeminist. Na nikuhakikishe tu kwamba hata ukilisolve hili kuwa tayari kwa lingine. Unalifahamu lakini? Ha ha ha ni kifo ndugu. Amini huyo mkeo ukimshinda hiyo kesi atakuua. Na hatakuua leo wala kesho. Atakuvutia muda wa miaka mingi mbele ili ndugu zo wasahau.Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Nikimtesa nipate manufaa gani? Ikiwa kuna nahayawani porini haimaanishi hakuna digidigi ama nyumbu..Hapa sasa patamu....mada ndani ya mada...kimeumana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]