Naona umehamia kwenye ubinafsi sasa. Hahahaaa.Ambao hatufanyi sawa ni hii tabia ya kuwa na housigelo. Mnawadhulumu watoto wa watu kwa ubinafsi wenu.
Kwanza hili la housigelo liangaliwe. Housegelo wanapaswa kuwa watu wazima walipwe vizuri. Kama hamna hela hiyo basi kila mtu apambane na watoto wake mwenyewe.
Mnajiita superwoman huku mnawakandamiza watoto wa wenzenu tuu. Weka mwanamke mwenzio akulele watoto na umlipe vizuri. Aaje na aondoke zake ndio tuone huo usuperwoman wako.
Wakati unasasambua mbona haukutuomba msaada....maliza mwenyeweMimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Sasa kama ni burudani kwa nini aje aombe msaada humu JF?Mnasingizia tuu de libolo bure. Sasa kula mbususu nayo ni matatizo au burudani?
Wewe komaa na watoto wako wewe kama wewe usitake watoto wa mwanamke mwenzio ndio akulele watoto wako.Naona umehamia kwenye ubinafsi sasa. Hahahaaa.
Sasa ubinafsi na usupa woman unahusiana vipi na mimba we nae. π€£
Kwa hiyo kutokuwafikiria hao watoto wa wenzetu ndo sababu ya Mwanaume kuacha kazi zake na kurudi nyumbani kumla housegirl?Sijaoa kwa sababu sina uwezo wa kutunza mke na watoto.
Kwangu mie nilishasema mke wangu ataleta mature maid tena wakuja na kuondoka. Sio mtu analeta vitoto alafu anajidaibyeye ni mke. Pumbafu kabisa.
Ukitaka kuwa mama zaa acha kazi lea mtoto mpaka anapofika 2years. Mimi mume kazi yangu ni kukuhudumia wewe. Mambo ya kutesa watoto wa wengine ilikukufurahisha wewe siwezi.
Ndio maana nasema women nyie ni selfish sana u only think about urself. Mbona hamuwafikirii hao watoto wa wanawake wenzenu?
Ila mwanaume akigegeda ndio mnashupaza shingo kuwa wanaume wabaya
Tubu kwa mkeo maisha yaendelee na pia lea watoto wako wote.Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Dahhh . mkuu uko kwenye mapito ...ila fanya hili litakusaidia ,, kama kweli mimba ni yako shuka chini mbembeleze mkeo then timua housegirl lea hiyo mimba huko huko atakakokuwa ,lea huyo mtoto maisha mengine yanaendeleee tubu mbele ya wadhamini wa ndoa yako na mbele za mungu then badilisha life style mrudie Muumba wako,akuepushe na majaribu mengine kama hayo ...Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Kuleteana mitego huko sasa. Wee kwa nini umewekee mitego mumeo? Kaa wewe nyumbani uleeKwa hiyo kutokuwafikiria hao watoto wa wenzetu ndo sababu ya Mwanaume kuacha kazi zake na kurudi nyumbani kumla housegirl?
Uzuri mi naishi na wadada wa kazi kwa zaidi ya miaka 14 sasa na Mr hajawahi fanya huo upuuzi.Wewe komaa na watoto wako wewe kama wewe usitake watoto wa mwanamke mwenzio ndio akulele watoto wako.
Ajiri mwanmke mtu mzima aje na kuondoka kama hutaki mumeo kutia mimba housigelo.
πππAmbao hatufanyi sawa ni hii tabia ya kuwa na housigelo. Mnawadhulumu watoto wa watu kwa ubinafsi wenu.
Kwanza hili la housigelo liangaliwe. Housegelo wanapaswa kuwa watu wazima walipwe vizuri. Kama hamna hela hiyo basi kila mtu apambane na watoto wake mwenyewe.
Mnajiita superwoman huku mnawakandamiza watoto wa wenzenu tuu. Weka mwanamke mwenzio akulele watoto na umlipe vizuri. Aaje na aondoke zake ndio tuone huo usuperwoman wako.
Mhh!!! Sasa milioni Mia mwalimu atoe wapi na ndo wametoka KUJENGA nyumba kwa pamoja na ukute Kila upande umekopa bank!! Wasameheane TU kitanda hakizai haramu maisha mengine yaendelee japo house girl ndo mganga mkuu kwenye hili Jambo laoSiyo uondoke tu na talaka juu na umfidie milioni mia za kuondoa mfadhaiko aliopata.
Ukome
Mwanaume tu ndo kichomi hapo hamna mitego wala nini.Kuleteana mitego huko sasa. Wee kwa nini umewekee mitego mumeo? Kaa wewe nyumbani ulee
Ndio ukweli. Sii unaona walistaarabikanfirst world hawana haya mambo ya kijingaπππ
Sasa mke hatoi unyumba unategemea mwanaume afanyeje?Mwanaume tu ndo kichomi hapo hamna mitego wala nini.
Hayo ni matokeo ya usaliti wa ndoa yako....UkomeMimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Sasa wewe unasubiri nini, ondoka anzisha maisha mapya
Ah jamani facts on the table, mke kamnyima jamaa mbususu na kazi ya mke ni kutoa utelezi ulitaka njemba apige nyeto?Naona mzabzab yuko busy kuitetea mbus*s*. π€£π€£π€£