KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Lini ulishawahi sikia kuna house gelo mgumba!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwee....kwahiyo bora angetomber mwanafunzi au bora housigelo?Na me wanaojitambua wajengewe sanamu lao peponi. Huyo mwalimu ni mshenzi tu, na sio talaka tu Hadi kazi afukuzwe, si ajabu anakula Hadi wanafunzi wake. Watoto wanamsubiri shuleni yeye anarudi nyumbani kumnyatia house girl ilhali ana mke ndani. Amemuharibia dada wa kazi life yake, kwanini baadhi ya me wanasindwa kuwaheshimu Hawa wadada wanaosaodia kazi nyumbani?
Bimkubwa aliwambia watumishi kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Mnamaanisha hamkumuelewa ama? 🤔katoto kakobka miak 11 kaliwe na Mwalimu Sasa hiv nyamaza kwanza
Unafundisha shule gani? Msingi ama sekondari?! Huyo beki 3 yawezekana kabisa analingana kiumri na wanafunzi wako!Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu na narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar,
Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Ulipozungumzia swala la walimu kutembea na watoto umeona ni jambo zuri ndio nimeshangaa mbona majambazi mtaani yapo kibao ni simu yako tuu...Tupo sawa muu kwani wewe unaonaje
Nasema mkewe ashikilie hapo hapo. Na aking'ang'ana haki yake anapata. Yeye liondoke likapange vzr huko na huyo mdada wa kazi. Kazi si anayo?. Watajichanga na huyo kijakazi watajenga nyengine. Ila huyo kijakazi sijui kama hatorudishwa kijijini. Aombe huyo baba awe na akili ya kumpangia chumba.Mwee....kwahiyo bora angetomber mwanafunzi au bora housigelo?
Atamlipa pension in AdvanceMhh!!! Sasa milioni Mia mwalimu atoe wapi na ndo wametoka KUJENGA nyumba kwa pamoja na ukute Kila upande umekopa bank!! Wasameheane TU kitanda hakizai haramu maisha mengine yaendelee japo house girl ndo mganga mkuu kwenye hili Jambo lao
Tatizo ndalama hela tunayolipwa haitoshi kuwala hao majambazi. Wacha wale kwa urefu wa kamba zao jamaniUlipozungumzia swala la walimu kutembea na watoto umeona ni jambo zuri ndio nimeshangaa mbona majambazi mtaani yapo kibao ni simu yako tuu...
Yeah tabia ni kama ngozi. Atarudia tu kuwala Tena na tena hata kwa kuwatishia.Tamaa mbaya. Ukome. Mkeo ashikilie hapo hapo maana hata akikusamehe akaleta housegirl mwingine utamla tu
Usiwe na hofu jamaa atampangia chumba housigelo wataendelea kula tunda la pale kati.Nasema mkewe ashikilie hapo hapo. Na aking'ang'ana haki yake anapata. Yeye liondoke likapange vzr huko na huyo mdada wa kazi. Kazi si anayo?. Watajichanga na huyo kijakazi watajenga nyengine. Ila huyo kijakazi sijui kama hatorudishwa kijijini. Aombe huyo baba awe na akili ya kumpangia chumba.
Kwani hata akikubali kama alimla na kumpa mimba,mahakamani watakubali aachie hiyo nyumba kwa hiyo sababu?Mpangishie chumba huyo dada mbadilidhie namba ya simu na mkienda mahakamani unakataa macho makavu kuwa hujawahi kulala na huyo binti
Bwana wee tena hao roho mbaya balaa wengine hadi wanawakatalia watoto wa watu kukaa kwenye sofa. Ni makatili kweli haya majanamke basi tuu hapa yanajifanya roho nzuri.mzabzab hawa wanawake wanafiki sana wao wenyewe wnawatesa sana hawa wafanyakazi wa ndani mpaka huruma aisee sisi tukiwapa de libolo kupunguza mahungu ya mateso ya wake zetu wnamaindi
Tatizo lenu wake zetu tukiwaoa mnaanza kuvimba yaani mkishapata tu kile cheti cha ndoa huwa mnabadilika sana hasa kwenye suala la kutupa unyumba ndo mana mwisho wa siku tunakula house galYeah tabia ni kama ngozi. Atarudia tu kuwala Tena na tena hata kwa kuwatishia.