Nimempa ujauzito mke wa mtu

Nina mkasa Kama wako,,, kwanza huwa Sipendi kabisa kuwasiliana na mama wa mtoto kwa sababu anaweza niletea tatizo, mtoto najua ni wangu biologically, lakini in real sense sio wangu kabisa,,,HUYO SIO MTOTO WAKO. WE FANYA KUMSAHAU, LABDA MPAKA BABA MLEZI AFARIKI, AU AFUNGWE MAISHA.
Lakini hata ikitokea hayo yametokea halafu ndio ukajitokeza jamii na ndugu wa mwanaume hawatakuelewa. Hivo we potezea kabisa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Na mimi yamenikuta ila nimempa pesa akafanye mchakato but nimemmind kinoma..

Mtu anasanuka hovyo wakati ni mke wa mtu hata hajui kuwa yuko kwenye siku za hatari.
 
Hivi kweli MTU na akili zako Wanawake wamejaza kila kona unaendaje kutembea na Mke wa MTU,kwa kweli mie nimeapa siku nikigundua kuna MTU anatembea na Mke wangu-lazima atangulie kwa Mungu baba kabla yangu.
 
Kitanda hakizai haram
 
Tulia uje ukatwe chechele bila ganzi
 
Malaya amechangia sawa na wito wa malaya mwenzake sio?[emoji1787]
 
CHILLAX ndugu yangu....tulia tuliiii

Maana unaweza kuta hata wewe SIO MTOTO WA HUYO UNAYEZANI NI BABA YAKO.....


tena hata wengine humu nao watulie waache kukusakama...hawana uhakika na baba zao maana siri wamezibeba mama zao..sio wao..

We omba toba tu muachie mdada alee zake
 
Fumua mbunye hiyo, hakikisha kama ako na mshono unaufumua japo kidogo
Unamshauri vibaya. Mtu kutembea na boss wake ni kuharibu kazi yake.
Maboss wa kibongo hawajui kutenganisha kazi na mapenzi.
Siku jamaa akifumaniwa anatoka na mfanyakazi au vinginevyo ajue kazi hana.
 
Endapo haufananifanani na mumewe ni lazima aitoe tu...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…