Na mimi yamenikuta ila nimempa pesa akafanye mchakato but nimemmind kinoma..Wakuu kwema?
Mwenzenu nina kisanga hapa, kuna mwanamke ni ex wangu, ila yeye aliolewa na wenye pesa kwa sherehe kubwa baada ya kuona mimi sieleweki na sina mpango wa kuwa mtumwa wa ndoa, jamaa yake saiv amekuwa mlevi na kiaina ni kama ameikacha familia, so mkewe baada ya kuona jamaa kasahau majukumu yake ya kindoa, ndio akaamua kunicheki, sababu alikuwa mtu wangu na amenona,nikamualika kwangu.
Hee si ikaonekana tunakumbushia ya zamani, mwanamke akanogewa akawa anakuja mara nyingi,Vsi nimeishia kumjaza tumbo, sasa anahaha kuitoa mi nimemwambia azae tu sishiriki dhambi ya uuaji, hata kama dhambi zote ni sawa, ila bora nibakie na ya uzinzi kuliko uuaji.
So swali langu ni kwa malaya wenzangu vipi ilikuwaje kwa aliyewahi kukutana na mkasa wa aina hii? Na aliumalizaje, maana wiki ya 3 sasa nimenuniwa na sielewi nini kinaendelea huko upande wa pili.
Kitanda hakizai haramWakuu kwema?
Mwenzenu nina kisanga hapa, kuna mwanamke ni ex wangu, ila yeye aliolewa na wenye pesa kwa sherehe kubwa baada ya kuona mimi sieleweki na sina mpango wa kuwa mtumwa wa ndoa, jamaa yake saiv amekuwa mlevi na kiaina ni kama ameikacha familia, so mkewe baada ya kuona jamaa kasahau majukumu yake ya kindoa, ndio akaamua kunicheki, sababu alikuwa mtu wangu na amenona,nikamualika kwangu.
Hee si ikaonekana tunakumbushia ya zamani, mwanamke akanogewa akawa anakuja mara nyingi,Vsi nimeishia kumjaza tumbo, sasa anahaha kuitoa mi nimemwambia azae tu sishiriki dhambi ya uuaji, hata kama dhambi zote ni sawa, ila bora nibakie na ya uzinzi kuliko uuaji.
So swali langu ni kwa malaya wenzangu vipi ilikuwaje kwa aliyewahi kukutana na mkasa wa aina hii? Na aliumalizaje, maana wiki ya 3 sasa nimenuniwa na sielewi nini kinaendelea huko upande wa pili.
Tulia uje ukatwe chechele bila ganziWakuu kwema?
Mwenzenu nina kisanga hapa, kuna mwanamke ni ex wangu, ila yeye aliolewa na wenye pesa kwa sherehe kubwa baada ya kuona mimi sieleweki na sina mpango wa kuwa mtumwa wa ndoa, jamaa yake saiv amekuwa mlevi na kiaina ni kama ameikacha familia, so mkewe baada ya kuona jamaa kasahau majukumu yake ya kindoa, ndio akaamua kunicheki, sababu alikuwa mtu wangu na amenona,nikamualika kwangu.
Hee si ikaonekana tunakumbushia ya zamani, mwanamke akanogewa akawa anakuja mara nyingi,Vsi nimeishia kumjaza tumbo, sasa anahaha kuitoa mi nimemwambia azae tu sishiriki dhambi ya uuaji, hata kama dhambi zote ni sawa, ila bora nibakie na ya uzinzi kuliko uuaji.
So swali langu ni kwa malaya wenzangu vipi ilikuwaje kwa aliyewahi kukutana na mkasa wa aina hii? Na aliumalizaje, maana wiki ya 3 sasa nimenuniwa na sielewi nini kinaendelea huko upande wa pili.
Nyie wanawake Mungu anawaonaMumewe keshabambikiziwa masikini..[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hahaha changia ili mwamba apate majibuHalafu mnasemaga wanawake hawapendani
Malaya amechangia sawa na wito wa malaya mwenzake sio?[emoji1787]Kuna kabila Moja Wana mila Yao,
kwamba ukimzalisha MKE asiye wa kwako jua ndo umetoa sadaka ya mbegu TU kwenye familia yao.
Mtoto akizaliwa Ni mali ya baba mwenye MKE na ukoo wao tu, haijalishi hata Kama Yuko jela au kafariki. Bado mtoto Ni Mali ya ukoo
Sasa Ukileta ujuaji unatangulizwa ahera mapema Sana ili usije vuruga amani na utulivu wa ukoo wao.
Ukizingatia tayar unakosa mkononi la kutembea na mtu, kwahyo wengi huamua kukaa na Siri iyo kifuani.
Kwaiyo mtoa mada,
You better watch your move into this.
TUSIJE KUKUSAHAU MAPEMA[emoji4]
Wamasai piaHawa ni wakina Mwita,Chacha,Bhoke,Munanka,Marwa,Matinde and the likes.
ExactlyKama mwanamke ana mume, na kila siku walala kitanda kimoja, usije ukakubali wewe wa pembeni kuambiwa eti mimba ni yako. Utakuwa tahira namba 1 wewe endapo ukakubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamshauri vibaya. Mtu kutembea na boss wake ni kuharibu kazi yake.Fumua mbunye hiyo, hakikisha kama ako na mshono unaufumua japo kidogo
Nakupenda sanaaaaa LoveTulia uje ukatwe chechele bila ganzi
Endapo haufananifanani na mumewe ni lazima aitoe tu...!Wakuu kwema?
Mwenzenu nina kisanga hapa, kuna mwanamke ni ex wangu, ila yeye aliolewa na wenye pesa kwa sherehe kubwa baada ya kuona mimi sieleweki na sina mpango wa kuwa mtumwa wa ndoa, jamaa yake saiv amekuwa mlevi na kiaina ni kama ameikacha familia, so mkewe baada ya kuona jamaa kasahau majukumu yake ya kindoa, ndio akaamua kunicheki, sababu alikuwa mtu wangu na amenona,nikamualika kwangu.
Hee si ikaonekana tunakumbushia ya zamani, mwanamke akanogewa akawa anakuja mara nyingi,Vsi nimeishia kumjaza tumbo, sasa anahaha kuitoa mi nimemwambia azae tu sishiriki dhambi ya uuaji, hata kama dhambi zote ni sawa, ila bora nibakie na ya uzinzi kuliko uuaji.
So swali langu ni kwa malaya wenzangu vipi ilikuwaje kwa aliyewahi kukutana na mkasa wa aina hii? Na aliumalizaje, maana wiki ya 3 sasa nimenuniwa na sielewi nini kinaendelea huko upande wa pili.
Hii hata mkemia mkuu wa serikali alishawahi sema.. ALisema 49% ya wanaume Tanzania wanalea watoto si wao..Mumewe keshabambikiziwa masikini..[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]