Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usikatae mtoto. Lea hiyo mimba mengine utajua huko mbeleni.View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
Ila una kiuno cha kuendeshea Baiskeli, SIO mchezowakati unaminya mpododo ili wese litoke limechujwa clearly uliona burudan,,af kesho unakuja kutunanga single maza,😄😄😄
Suprise herMkuu inafikirisha sana, weekend nitampleleka tukapime, kama ni trick ndio itakua mwisho wa kufahamiana nae
umeona wapIla una kiuno cha kuendeshea Baiskeli, SIO mchezo
Dah , [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuma picha ya PUA yako mkuu haiweazakni demu kuidiss hivhiv Kuna jambo........
Hebu kuwa muungwana usiharibu maisha ya watu halafu baadae uje kuponda ma single mothers,View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
[emoji16][emoji16] jinga kabisaHuna malengo nae ila papuchi yake ulikua na malengo nayo sio?
tulia usionyeshe kuwa na mawenge weka msimamo wako mezani tuliaSerious?
View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
MREJESHO:
Nimekutana na msichana, tukapima nikajihakikishia ni kweli amepata. Baada ya hapo tukazungumza vitu kadhaa, Mimi nilimwambia uhusiano na future itakua Kwa mtoto tu. Ila baada ya kusikia hivyo alikasirika na kuondoka, Kani block namba zote na sehemu zote. Nimefanya jitihada ya kumtafuta Kwa namba ngeni akipokea anasema hataki mawasiliano na Mimi Kwasasa, Hapo imekaaje wakuu!!. Maana alisepa ghafla na nilidhamiria nikimkuta nayo tupashe kipolo😊.
Wakuu Leo jun 25, amenitumia hizi jumbe kwamba nimtumie laki 1, huyu mtu Kani block, nimemwambia unblock na anitumie picha ya ultrasound kwanza, ila hakuna alichofanya Hadi sasa, na hii typing kama sio yak
Huyu mtu, nimesha Anza kumshtukia sasa, au nyie mnaonaje?View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
MREJESHO:
Nimekutana na msichana, tukapima nikajihakikishia ni kweli amepata. Baada ya hapo tukazungumza vitu kadhaa, Mimi nilimwambia uhusiano na future itakua Kwa mtoto tu. Ila baada ya kusikia hivyo alikasirika na kuondoka, Kani block namba zote na sehemu zote. Nimefanya jitihada ya kumtafuta Kwa namba ngeni akipokea anasema hataki mawasiliano na Mimi Kwasasa, Hapo imekaaje wakuu!!. Maana alisepa ghafla na nilidhamiria nikimkuta nayo tupashe kipolo😊.
Wakuu Leo jun 25, amenitumia hizi jumbe kwamba nimtumie laki 1, huyu mtu Kani block, nimemwambia unblock na anitumie picha ya ultrasound kwanza, ila hakuna alichofanya Hadi sasa, na hii typing kama sio yake