Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.

Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
Mkuu usikatae mtoto. Lea hiyo mimba mengine utajua huko mbeleni.

Narudia kama unauhakika ni yako usikatae mimba. Lea hiyo mimba mengine utajua huko mbele.
 
Yaani hatua zote ulizopitia mpaka kumwagia ndani , mbona nimalengo mengi sana umeyatimiza ?..
 
wakati unaminya mpododo ili wese litoke limechujwa clearly uliona burudan,,af kesho unakuja kutunanga single maza,😄😄😄
Ila una kiuno cha kuendeshea Baiskeli, SIO mchezo
 
View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.

Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
Hebu kuwa muungwana usiharibu maisha ya watu halafu baadae uje kuponda ma single mothers,
Yaliyotokea yameshatokea chukua majukumu kama mwanaume pambana kwani kusoma ndio nn,

Tatizo uvulana bado unakusumbua unataka vilivyogharamiwa ,kujituma huwez
 
kisirani cha mimba changa tuh icho we piga kimya atakuja mwenyewe
 
View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.

Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana

MREJESHO:
Nimekutana na msichana, tukapima nikajihakikishia ni kweli amepata. Baada ya hapo tukazungumza vitu kadhaa, Mimi nilimwambia uhusiano na future itakua Kwa mtoto tu. Ila baada ya kusikia hivyo alikasirika na kuondoka, Kani block namba zote na sehemu zote. Nimefanya jitihada ya kumtafuta Kwa namba ngeni akipokea anasema hataki mawasiliano na Mimi Kwasasa, Hapo imekaaje wakuu!!. Maana alisepa ghafla na nilidhamiria nikimkuta nayo tupashe kipolo😊.

Wakuu Leo jun 25, amenitumia hizi jumbe kwamba nimtumie laki 1, huyu mtu Kani block, nimemwambia unblock na anitumie picha ya ultrasound kwanza, ila hakuna alichofanya Hadi sasa, na hii typing kama sio yak

View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.

Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana

MREJESHO:
Nimekutana na msichana, tukapima nikajihakikishia ni kweli amepata. Baada ya hapo tukazungumza vitu kadhaa, Mimi nilimwambia uhusiano na future itakua Kwa mtoto tu. Ila baada ya kusikia hivyo alikasirika na kuondoka, Kani block namba zote na sehemu zote. Nimefanya jitihada ya kumtafuta Kwa namba ngeni akipokea anasema hataki mawasiliano na Mimi Kwasasa, Hapo imekaaje wakuu!!. Maana alisepa ghafla na nilidhamiria nikimkuta nayo tupashe kipolo😊.

Wakuu Leo jun 25, amenitumia hizi jumbe kwamba nimtumie laki 1, huyu mtu Kani block, nimemwambia unblock na anitumie picha ya ultrasound kwanza, ila hakuna alichofanya Hadi sasa, na hii typing kama sio yake
Huyu mtu, nimesha Anza kumshtukia sasa, au nyie mnaonaje?
 
Back
Top Bottom