SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Kama hujui matumizi ya condom ulikwendaje kulala naye bila .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sanaUkiwa chuo kikuu wewe ni mtu mzima,
Unapopata taarifa kuwa mpenzi wako ni mjamzito jambo la kwanza unatakiwa kurelax kisha unamuita na kumpima huo ujauzito ili uhakikishe.
Baada ya hapo unaangalia kama hakuna viashiria vya yy kuwa na mahisiano ya pembeni
Kama hana unatakiwa kulea hiyo mimba kivyovyote vile maana unaweza jiona hunashida na mtoto baadae mambo yakaja kukuendea kombo hukobeleni wakati huo unapesa na kila kitu
Wewe lea mimba na hakikisja unamuweka karibu huyo binti maana kwa mwandiko wake ni mtu anayejitambua.
Ukiweza muoe. Nakuhakikishia utajifunza mengi na akili yako itakomaa.
Wanaume huwa hatukatai mimba mkuu wanaume kupambana.
Ishi kwenye hii kauli ya mwisho.Nimeteleza najutia sana
Je ungepata gono au ukimwi, ungekuwa unao au huna, basi kama ietokea mimba lea tu mkuu.Mkuu najua hamtaniamini hapa demu aliniekea mitego mingi ya kumdinya, Hadi ikawa ni mchezo, na anafaham kwamba nilikua simkubali.
ndio umtunze sasaView attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
Pua yake ipo kama ya Analyse 😀😃😄😁😀😃😄Tuma picha ya PUA yako mkuu haiweazakni demu kuidiss hivhiv Kuna jambo........
Kuna sehemu ulikuwa na ushauri mzuri ila hapa umepotea na umemshauri vibaya.Tafuta mwingine mwaga mbegu nduki..
Fanya ivyo kadri uwezavyo
Wasalaam
Dogo kaomba ushauri sio busara kumchamba. Hauna cha kushauri pita kimya kimya, hakuna binadamu ambae hafanyi makosaUlivyokuwa unamwagia ndani mbona hukutushirikisha
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
😀😀😀😀😀😀Niliwahi kusema HIVYO MUNGU fundi Mtoto katoka Copy & Paste, what's this?
Mkuu tusimlaumu sana dogo saiv na mademu nao hawaaminiki ukute mimba sio ya dogo, demu kacheki wanaomkaza nani nice guy wa kumbakia mimba chaguo likamuangikia dogo.Mkuu acha roho mbaya yakukataa mimba hio itakutafuna milele hadi unaingia kaburini wakat unampelekea moto na kusikia raha hukujua kwamba kuna majukumu baada ya raha hizo
Shukrani Kwa ushauriChukua vipimo kuakikisha kwanza kama kweli ana mimba kweli, labda anakujaribu tu response yako itakuaje siku akibeba mimba kweli. Kama ana mimba kweli beba majukumu maana ushakua mtu mzima tayari pia washirikishe wakubwa zako nyumbani. Mtoto akizaliwa kama haujafanana nae kabisa make sure unacheki vipimo vya DNA kwa siri, kumbuka DNA za bongo ni za mchongo jichange kachukue vipimo Nairobi gharama zake sio kubwa sana.
Hongera yako mwenye mbele na nyumaHalafu baada ya miaka 5 huyo dada baada ya kuchoshwa na frustration za usingle mother atakuja hapa love connect kutafuta mume ambaye ana kazi yake na ayaijielewa wakati uliyemzalisha ni kijana wa ovyo na jobless usiokuwa na mbele wala nyuma kama mche wa sabuni..
Piga kimya mkuu, usimjibu.View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana