Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

Nimempa ujauzito msichana nisiye na malengo naye

Ukiwa chuo kikuu wewe ni mtu mzima,

Unapopata taarifa kuwa mpenzi wako ni mjamzito jambo la kwanza unatakiwa kurelax kisha unamuita na kumpima huo ujauzito ili uhakikishe.

Baada ya hapo unaangalia kama hakuna viashiria vya yy kuwa na mahisiano ya pembeni

Kama hana unatakiwa kulea hiyo mimba kivyovyote vile maana unaweza jiona hunashida na mtoto baadae mambo yakaja kukuendea kombo hukobeleni wakati huo unapesa na kila kitu

Wewe lea mimba na hakikisja unamuweka karibu huyo binti maana kwa mwandiko wake ni mtu anayejitambua.

Ukiweza muoe. Nakuhakikishia utajifunza mengi na akili yako itakomaa.

Wanaume huwa hatukatai mimba mkuu wanaume kupambana.
Shukrani sana
 
View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.

Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
ndio umtunze sasa
 
Chukua vipimo kuakikisha kwanza kama kweli ana mimba kweli, labda anakujaribu tu response yako itakuaje siku akibeba mimba kweli. Kama ana mimba kweli beba majukumu maana ushakua mtu mzima tayari pia washirikishe wakubwa zako nyumbani. Mtoto akizaliwa kama haujafanana nae kabisa make sure unacheki vipimo vya DNA kwa siri, kumbuka DNA za bongo ni za mchongo jichange kachukue vipimo Nairobi gharama zake sio kubwa sana.
 
Halafu baada ya miaka 5 huyo dada baada ya kuchoshwa na frustration za usingle mother atakuja hapa love connect kutafuta mume ambaye ana kazi yake na ayaijielewa wakati uliyemzalisha ni kijana wa ovyo na jobless usiokuwa na mbele wala nyuma kama mche wa sabuni..
 
Mkuu acha roho mbaya yakukataa mimba hio itakutafuna milele hadi unaingia kaburini wakat unampelekea moto na kusikia raha hukujua kwamba kuna majukumu baada ya raha hizo
 
Mkuu acha roho mbaya yakukataa mimba hio itakutafuna milele hadi unaingia kaburini wakat unampelekea moto na kusikia raha hukujua kwamba kuna majukumu baada ya raha hizo
Mkuu tusimlaumu sana dogo saiv na mademu nao hawaaminiki ukute mimba sio ya dogo, demu kacheki wanaomkaza nani nice guy wa kumbakia mimba chaguo likamuangikia dogo.
 
Chukua vipimo kuakikisha kwanza kama kweli ana mimba kweli, labda anakujaribu tu response yako itakuaje siku akibeba mimba kweli. Kama ana mimba kweli beba majukumu maana ushakua mtu mzima tayari pia washirikishe wakubwa zako nyumbani. Mtoto akizaliwa kama haujafanana nae kabisa make sure unacheki vipimo vya DNA kwa siri, kumbuka DNA za bongo ni za mchongo jichange kachukue vipimo Nairobi gharama zake sio kubwa sana.
Shukrani Kwa ushauri
 
Halafu baada ya miaka 5 huyo dada baada ya kuchoshwa na frustration za usingle mother atakuja hapa love connect kutafuta mume ambaye ana kazi yake na ayaijielewa wakati uliyemzalisha ni kijana wa ovyo na jobless usiokuwa na mbele wala nyuma kama mche wa sabuni..
Hongera yako mwenye mbele na nyuma
 
View attachment 2996940Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.

Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo. Wadau naombeni ushauri, Nimeteleza najutia sana
Piga kimya mkuu, usimjibu.

Message yake ni ya kutafuta huruma hiyo, hizo texts tushatumiwa sana yan. Ona Mushker sana
 
Back
Top Bottom