Nyie mlioko kwenye ndoa miaka kwa miaka mnawezaje kuishi pamoja? Mimi naona kama kazi sana kuishi pamoja kushare kitanda na mtu kila siku. Ukitoka asubuhi unamuona ukirudi nyumbani upo nae weekend upo nae siku nzima. Hivi hamchoki kweli? Kuna muda mtu unakuwa unataka ukae pekee yako bila...
Nakumbuka wakati naachana na x wangu aliniambia "hutokuja kupata mwanaume kama mimi maisha yako yote" 🤦♀️ Watu wengine sijui hua wanajiamini nini mpk wanaeza kutamkia mtu maneno km haya. Matokeo yake yeye ndo hakupata tena mwanamke km mimi. Baada ya kuachana na mimi amekua akibadikisha...
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye. Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya...
Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania. Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila...
Ukitaka kujua mwanaume mwenye pesa angalia mavazi yke. Wanaume wengi wenye pesa huwa hawapendi kuvaa nguo nyingi huwa wanavaa simple na wengi wao wanapendelea sportswear. Sio sportswear za mitumba au fake namanisha zile original kama Nike, Adidas, Reebok, puma, fila, champion, kappa, asics...
Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali. Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa...
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation. Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi. Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda...
Vitu ambavyo siwezi kuja kuvifanya hata nipende vipi. Vitu hivi vikitokea bora kla mtu aende upande wke tu na wala sitojiuliza mara mbili ni kuachana tu. 1. Kua against na familia yngu. Hta nipende vp km hakuna maelewano mazur kati ya familia yngu na mwanaume ninaempenda halafu tatzo...
Nimeachana na mchumba wangu sababu ya kauli kama hii. Nlikuwa namsomesha university ili akimaliza tuoane
Mimi naona ni kitu cha kawaida. Mtu kama ameolewa ni sawa na kama hukuolewa ni sawa na haina haja kupanic ati umri unaenda huolewi. Ndoa ni kama vitu vingine tu chukulia mfano umasikini na utajiri. Si watu wote ni matajiri na si watu wote ni masikini. Na ndoa ndio ipo ivo si kla mtu atakuwa...
Yani mimi baadae nikija kuwa na familia yangu na watoto baadae nikaachana na baba yao basi uyo baba akae na ajue hatakuja kuwaona watoto tena katika maisha yake ata akiwaona atakua anawaona tu lakini hatowasogelea kwa hofu nitawambia watoto maneno mabaya kuhusu baba yao hata wasitamani kumuona...
Kifupi tu jamaa ajipange sana hana mke
Kama ushasex hadi na baba yako basi wewe ni mwanamke usiye na maadili kabisa
Nimejiridhisha ni kweli mzee alikula mzigo baada ya wewe kuanzisha nyuzi 2 hapa ndo alianza kukutongoza
Mwalimu wangu wa kemia anitaka kimapenzi ameniambia atanioa kama nakikubali. Nimemkatalia alitaka kunibaka ofisini. nikakimbia. Naogopa kumwambia mama mkali sana sina urafiki nae kabisa. Mwalimu amenisingizia kosa nimepewa barua nimwite mzazi, mpaka sasa sijampa mama najua nikimpa akienda...
Nimemaliza na hii.
Mdogo wangu nimejifunza mambo mengi sana kukuhusu. For sure unatabia kama za mchumba wangu ambaye napanga kuachana naye sababu nimejitahidi kumbadilisha naona kama baadae atanitesa coz tuna tofauti kubwa sana kiumri.
Kifupi tu wewe hauwezi kukaa kwenye ndoa hivo bora ungezaa tu watoto wako ukalea mwenyewe.
Wewe ni mwanamke ( huwa sipendi kuota mwanamke malaya) ila una tabia sio nzuri kwenye relation, hauheshimu mtu, wewe ni easy going yaan unadate na mtu yeyote ili mradi tu anapesa.
Bado unayo nafasi ya kujirekebisha