Nimempiga boadaboda mpaka nimemuonea huruma

Nimempiga boadaboda mpaka nimemuonea huruma

Mie kuna mmoja baada ya kunikosakosa, alisimamisha pkpk yake akianza kutoa matusi huku akisema alitaka kunvunja miguu.
Nilichomfanya nilimpa kichwa kimoja KITAKATIFU akaenda chini nikamuwahi huko huko nikashika kichwa chake nikaanza kukisugua kwenye lami
Wananakera sana hawa wapuuzi hata huyu wa leo alikuwa anaongea upuuzi huo huo
 
Na sisi wenye bajaji tunaruhusiwa 'kushuka' na kupambana na bodaboda?
 
Kuna mmoja nimesimama kwenye zebra akajaa akanivaa, nikashuka anataka kukimbia kachelewa nikamdaka kumcheki mtoto ana kama 16 hivi kanyoa kiduku kavaa mlegezo mchafu balaa! Nikamuonea huruma maanake nina uhakika hata leseni hana na gari haikuharibika zaidi ya scratch kwenye bumper nikamwachia aondoke


Huo ndo uanaume!mtu anayejisifia kupiga tena bas ni mwanaume..mie huwa nawashusha madaraja kbs!
 
Likud usipigane tena,,,kupigana au kupiga kunashusha heshima sana

I second you..niliamua kumuacha kaboyfriend kamoja kajeshi..jaman kenyew kupigana mwenge pale hakaoni ishu..kisa mjeshi...nikasema hunijui ww...!mm mwanaume anayependa mangumi nahisg km sio timilifu..mkoromee mpe jamba jamba achana naye
 
Bodaboda wa hapa mjini wana mentality moja ya kijinga sana.! Wanapokuwa barabarani they always act in this kind of foolish attitude " Tupo wengi ukinizingua ntaenda kuwaita wenzangu tutakuzingua"

Leo wakati narudi home " barabara" ya vumbi nimekutana na bodaboda mmoja yupo overspeed. Nikammwepa akaenda kugonga ukuta. Natoka nje ya gari jamaa ananifuata na kuanza kunimind huku ananitukana matusi ya nguoni kwamba mimi ndio nimesababisha yeye apate ajali. Wakati yote hayo yanatokea tayari watu walikuwa wameshaanza kujaa na walimuona wakati anakimbiza pikipiki yake .

Nadhani jamaa alipata ujasiri wa kunitukana baada ya kuona mavazi niliyokuwa nimevaa " Nilikuwa nimevaa kikristu" jamaa akaona hawa ndio walewale wakina Mathayo.


Nilimpa mshindo ( ngumi) wa nguvu mtu bidu chali kisha akaanza kutikisa kichwa kama bata kapigwa na manati.

Niliogopa sana nilidhani nimeua. Jamaa akatulia chini for like 10 minutes then baada ya hapo akanyanyuka akakaa. Nikazuga kama nataka kuendelea kumpiga fasta akaanza kutoa wosia ( Kaka ugomvi sio mzuri kaka and blah blah )
Eneo la tukio sio mbali na kijiweni anako park huyo unlucky bodaboda. Muda si mrefu wakaja bodaboda kikundi wakiwa na mwenyekiti wao kujua what is going on.

Jamaa alipo waona wenzake akapata nguvu akasimama na kuanza kuongea huku akiwa analia kwamba eti nimemuonea .


Unbeknownst to him mimi ni mmoja kati ya wadhamini wakuu wa Bodaboda Fc wa mtaani kwetu na bodaboda wananifahamu na kuniheshimu kupita maelezo.

Jamaa ni mgeni ndio maana hakuweza kunifahamu am sure as hell kama angekuwa ananijua asinge act that fun crazy.

Nilifanya kazi ya ziada kuwashawishi baadhi ya boda boda wasiendelee kumpa kisago ( They were like unamzingua broo?)

Nyie boda boda sikieni maneno haya.

Kwanza najua wengi wenu mmetoka mkoa, mkifika mjini jifunzeni kuwa wajanja wajanja kidogo.

Hapa mjjni ukiona kijana ana nyumba, gari na vihelahela kidogo usi mtreat kinyonge.

Kwa sababu kwanza ana akili nyingi kuliko wewe ( Pesa inatafutwa kwa akili kwa hiyo amekuzidi akili )

Usiwe fooled na kampani ya bodaboda wenzako. Hawa mabroo wenye vihela hela wanakuwaga na " connection " na moja kati ya connection wanazo kuwaga nazo ni pamoja na " watoto wa mbwa" ambao ni wakorofi kuliko wewe na kampani yako.
Ukweli uendeshaji wa bodaboda wengi wakiwa barabarani unatia shaka na ukiwa na gari yafaa usiwe na hasira waweza shoot mtu.Nimeshuhudia boda2 mmoja ameenda kukatiza mbele ya tanker ya mafuta few mita kama tatu tu na kuingia kijiweni hadi yule dereva akasimama.Ukweli nilitamani dereva yule ashuke tumkamate yule kijana maana alikuwa mbele yangu na alikuwa kero nampigia honi aache michezo alokuwa anafanya barabarani lakini yeye hakujali.
Wanakera mno.Sina huruma nao maana hata mimi yamenikuta sana hawana adabu barabarani.
 
Boda ni wapumbavu sana,kuna siku natoka nkuhungu kufika 4 way kaingia mzima mzima,nkamla then nkaamsha,ilikuwa usiku saa 4 ivii,
Sijui alipona au vipi
 
Huo ndo uanaume!mtu anayejisifia kupiga tena bas ni mwanaume..mie huwa nawashusha madaraja kbs!
Sasa mkuu km mtu ameku-kosakosa afu bado anakuja juu kwa matusi na pia anaonekana dhahiri anataka kupgana, ukimuacha si dhambi kabsa. Maana unyonge ni dhambi
 
Back
Top Bottom