Nimempiga boadaboda mpaka nimemuonea huruma

Nimempiga boadaboda mpaka nimemuonea huruma

Akupe ya mokasini ee
Usirudie kumpiga hivyo mwenzio msije mkagawana majengo ya serikali mkuu
I say sintorudia tena. Nina mshipa mmoja. Mara ya mwisho ilikuwa 2003. Nilikuwaga nikimpiga mtu ngumi mambo yafuatayo ilikuwa lazima yatokee.


1. Lazima azirai.

2. Lazima nikimbie.


3. Usiku silali kwetu nalala kwa uncle.


4. Lazima niamke saa kumi na moja alfajiri na kwenda hadi nyumbani kwao na jamaa kuona kama wameweka turubai kuna msiba.

Hali hii ilinitesa sana hadi nikaweka nadhiri kwamba sintopigana tena maishani.

Mara ya mwisho nilimliga jamaa akazirai nikakimbia.

Alafajiri naenda kwao kuchungulia nikakuta turubai nikasema "
Mungu wangu nimeua" sikutaka hata kuuliza nani amekufa.

Wakati nipo kwenye harakati za kutaka kutoroka nikasikia tangazo msikitini wanatangaza msiba kumbe aliefariki alikuwa baba wa jamaa niliye mpiga akazirahi nikasema " Alhamdulilahi"
 
I say sintorudia tena. Nina mshipa mmoja. Mara ya mwisho ilikuwa 2003. Nilikuwaga nikimpiga mtu ngumi mambo yafuatayo ilikuwa lazima yatokee.


1. Lazima azirai.

2. Lazima nikimbie.


3. Usiku silali kwetu nalala kwa uncle.


4. Lazima niamke saa kumi na moja alfajiri na kwenda hadi nyumbani kwao na jamaa kuona kama wameweka turubai kuna msiba.

Hali hii ilinitesa sana hadi nikaweka nadhiri kwamba sintopigana tena maishani.

Mara ya mwisho nilimliga jamaa akazirai nikakimbia.

Alafajiri naenda kwao kuchungulia nikakuta turubai nikasema "
Mungu wangu nimeua" sikutaka hata kuuliza nani amekufa.

Wakati nipo kwenye harakati za kutaka kutoroka nikasikia tangazo msikitini wanatangaza msiba kumbe aliefariki alikuwa baba wa jamaa niliye mpiga akazirahi nikasema " Alhamdulilahi"
Taratibu ndugu mleta mada!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
naona huu uzi ni wa wenye magari,mabodaboda watapita kando.Ila na sisi tusio na magari mnatupa morali ya kumiliki vyuma siku moja.Maana wajanja wanakuambia "hate or get inspired"
 
naona huu uzi ni wa wenye magari,mabodaboda watapita kando.Ila na sisi tusio na magari mnatupa morali ya kumiliki vyuma siku moja.Maana wajanja wanakuambia "hate or get inspired"
Unakuhusu au huwa hupandi bodaboda?
 
Umeona chai? Mimi nimejiuliza eti dakika kumi mtu yupo chini, wakati huo ni nini kilikuwa kinaendelea?
No hajaona chai ila amefurahia jinsi boda boda mkorofi aliyejitoa ufahamu alivyo rejewa na ufahamu wake ghafla na kuanza kutoa wosia. Anyway ukizijua ngumi kwanza zitakufanya kuwa na nidhamu lakini pili utazitumia kuwafanya watu wengine pia wawe na nidhamu
 
Daaah mkuuu hichi kisa najiona mimi leo nlienda kumsalimia sista mitaa ya kiwalani kwa Gude. Basi bana baada ya kumaliza nkaondoka zangu nipande gari kufika kituoni gari zinakuja zimejaa nkaamuwa nipande gari nizunguke nayo.Ile kufika machimbo mwisho wa lami dreva akasema siendelei gari ina hitilafu.
Basi bana ikatubidi tuteremke tupande gari jingine ile kuvuka barabara ilikuja boda boda ipo mkuku afu ni stendi pale.Nikaona nikienda mbele itanigonga nkirudi nyuma vile vile nkaamuwa kusimama ili ye anipishe,bwanae akanivaa tukapigizana uso kwa uso mi nkawahi nkaikamata ile piki piki asiniache alikuwa kampakiza mdada nkakaza mikono nkashika ule usukani wake.Ki uweli nimefunga ila nilimfurumishia ngumi tatu usoni.Kucheki kadondoka chini kumbe nimempasua,akaanza niomba msamaha mwenyewe nkamuonea huruma.Pale stend kuna maboda boda wakajaa alivowaona wenziwe duuh akapandwa na kibri na wao wakaanza kunizonga wananilaumu nkaona hapa ntaibiwa simu nikawa mpole wanaongea mi sijibu nkavuka nkapand gari nkarejea kwa sista kufika sista ananishangaa hee mbona una nundu usoni.Hata mishe mishe zangu leo zimekwama yaan nipo na nundu langu tu.
 
Back
Top Bottom