Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

Ni kweli kabisa, eti hela za mwanamke ni za mwanamke? Usawa huu mtakufa kwa stress sana
Hela ya mke ni ya familia kama ilivyo ya mume tu ila kuna ujinga wanawake wanaulazimisha waonekane wao hela zao ni dhambi kushea kwenye majukumu ya kifamilia. Labda niwe Mwigulu Nchemba siku 1 ndio sitataka mke achangie chochote ila nikiwa raia wa kawaida hela za wife lazma atazitoa tu siku nikikwama
 
Who so will ever touch a woman or abuse a woman no matter what is a beast and not human, forget whether some behave unholy,but the truth is that women are angels
Iko siku yaja utakuja kufanywa mjinga na ukigundua hilo utakuja kuandika uzi kwa uchungu sana. Endelea kuishi katika unayoyaamini juu ya mwanamke sasa.
 
Endeleeni kuoa machaguo ya macho yenu..hivi mwanaume kabisa kamili unafeli wapi kuchagua ke bomba ikakusaidia majukumu?
Au ndo hizi ndoa za kukurupuka...yaan mi ngekua mwanaume nisingefeli kupata mke.
Si wanadanganyana hela ya mke sio yako 😂😂😂 ujikute unateseka tu na mke unaye, sasa anakuwa wa kazi gani mjengoni.
 
Kuna wanaume mmeoa mafurushi hakyamungu. Mke wa namna hiyo ni bora atulie home atulelee watoto badala ya kumuweka msaidizi. Ukitoka asubuhi na kurudi usiku lazima uwe sehemu ya maendeleo ya familia, hutaki kaa home lea watoto.

Utakuta sasa anawaza "mume wangu akifariki ataniachia nyumba kadhaa, mashamba, viwanja na zile biashara", coz wao kwa mindset za kitoto wameshapiga mahesabu kuwa wanaume ndio wanatangulia kufa.
 
Who so will ever touch a woman or abuse a woman no matter what is a beast and not human, forget whether some behave unholy,but the truth is that women are angels
Well, ni mtazamo wako. Ni haki yako kikatiba.
 
Iko siku yaja utakuja kufanywa mjinga na ukigundua hilo utakuja kuandika uzi kwa uchungu sana. Endelea kuishi katika unayoyaamini juu ya mwanamke sasa.
Mkuu Extrovert zi dilute nondo zako kwa huyu jamaa, zipo concentrated sana, not good for his health.
 
Kuna wanaume mmeoa mafurushi hakyamungu. Mke wa namna hiyo ni bora atulie home atulelee watoto badala ya kumuweka msaidizi. Ukitoka asubuhi na kurudi usiku lazima uwe sehemu ya maendeleo ya familia, hutaki kaa home lea watoto.

Utakuta sasa anawaza "mume wangu akifariki ataniachia nyumba kadhaa, mashamba, viwanja na zile biashara", coz wao kwa mindset za kitoto wameshapiga mahesabu kuwa wanaume ndio wanatangulia kufa.
Sasa atafaidi vipi hivyo vitu wakati namuacha akiwa kashazeeka? Hana maajabu tena
 
Mkuu Extrovert zi dilute nondo zako kwa huyu jamaa, zipo concentrated sana, not good for his health.
Bado amateur huyo kwenye game ya relations, ukiona mtu anakuwa down on his knees infront of a woman like that he must be inexperienced. Hajui saikolojia yao hao, hata sie gurus huwa tunaishi kwa machale
 
Kwa ufupi sana.

Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Huu uzi umenichekesha sana
 
Haya bana!

Ila takwimu zinaonyesha kuwa wanaume tunatangulia mapema. so mwisho wa siku tunawaachia kila kitu

I guess sio mbaya mara moja moja kujifuta jasho na kufurahisha nafsi 😅
 
Sasa atafaidi vipi hivyo vitu wakati namuacha akiwa kashazeeka? Hana maajabu tena
Mkuu, imagine unamuoa my wako mmepishana 10yrs, wewe ukifika 75 unakata moto yeye bado 65..unadhani kwa umri huo hafaidi maisha?
 
Kuna reply za wanaume wenzangu wanajiona ma gentlemen sana kwa kumtetea huyo mwanamke na kumtukana mwanaume mwenzetu..

Hivi Jambazi kama huyo unamuachaje salama?

nikuuguze wee mpaka kukopa Juu yangu kumbe una hela umetulia nazo tu? non sense

mzee malizia na hizo 2m ili atafute nyingine anavyojua
Skia wengi humu wana taka kuwa impress wanawake wa JF lakini kiuhalisi hao wanaume hawaishi hivyo ktk maisha yao nje ya JF. Wanajifanya magentle meeeni kumbe wengi wana matatizo kama sisi story zao za mirejesho ziko nyingi humu
 
Mimi sio tu mke ata Kama angekua mwanangu ambaye nawajibika kwa asilimia zote kumuhudumia

Awe anaumwa namuangakia adi nakopa kumbe yy kwenye kibubu chake chini ya kitanda ana hela ambayo ingetosha kununua ata dawa na aniambii! aisee..

Hicho kibubu navunja natoa ela naenda kununua jogoo mkubwa namkaanga fresh na hapati ata kiwiko mpuuzi mmoja huyo

Familia n jambo la umoja na ushirikiano, lazima tuungnishe nguvu kwa hiari na kujitoa mambo yaende, sio mambo ya kusikilizia, kujivuta...
Nakuunga mkono mzee baba
 
Mkeo ni mchawi kabisa huyo yaani anaumwa na ana pesa ndani anaacha mpaka uende kuchukua kwenye biashara.

Au wewe ulikua humshirikishi, isijekua wewe huwa unavimba kua una pesa na hata changamoto zako kifedha husemi halafu unatehemea tu yeye aote kua huna pesa ilhali kwake unajitumumua unazo.
 
Back
Top Bottom