Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

Nimempiga mke wangu milioni 2 kizembe sana

Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Wataokujibu kwa kukushambulia watakua hawako kwa ndoa au hawaelewi akili ya mwanamke kwenye ushiriki wake kwa familia kiuchumi,wazeee Hawa viumbe Hawa? 😬Vile tumezaliwa kutoa tu,Kuna jamaa humu ashasimulia kafungiwa mshahara kazini miezi minne mwanamke ana biashara aliyofunguliwa na huyo huyo mmewe lkn hatoi kitu kwenye bajeti ya kila.siku jamaa kaamua kumpekua loooh! Anakutana na bunda za pesa tu ndani then kumbe ana ex wake ndo ana mgharamia kwa pesa ya biashara ya familia. Alimpiga chini mazima.
 
Kwa ufupi sana.

Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia
Endeleeni kuoa machaguo ya macho yenu..hivi mwanaume kabisa kamili unafeli wapi kuchagua ke bomba ikakusaidia majukumu?
Au ndo hizi ndoa za kukurupuka...yaan mi ngekua mwanaume nisingefeli kupata mke.
 
Shenzee kabisa Joannah Ahahahahahahaaaa..!! Kwani huwa mnaogopa kuibiwa? Wala si kuibiwa, nyie hata LUKU ikiisha na upo nyumbani, kutoa hela yako kununu LUKU ni shida. Utampigia simu mtu yupo safarini hukoo anunue LUKU
Ha haaaa tukinunua luku mtajua tuna hela kumbe shida inaanza.
 
Kwa ufupi sana.

Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.

Siku moja nikachukua kadi na kuchungulia akaunti yake nikakuta ina milioni saba imetulia. Ikaniuma sana. Baada ya miezi mitatu nikachngulia tena nikakuta ile fedha bado imetulia.

Juzi kati tukapata shamba kwa milioni tatu. Nikampa idea ila nikampanga shamba linauzwa milioni 5. Akaikubali akanipa milioni 2 nimalize kazi.

Nikamaliza biashara na mkataba ukasoma 5m mwenye shamba akachukua 3m. Nikapiga 2m bila kelele.

My Take
Wake zetu mnaficha hela ili iweje? Kuweni mstari wa mbele kushughulika na changamoto za kifamilia

Huna akili.

Kama mke amekubali kutoa pesa yake kununua shamba basi ujue hakuficha kwa nia mbaya, alitunza kwaajili ya maendeleo.

Sasa wewe umemwibia halafu unaenda kunywa bia

Stupid of you.
 
Mimi sio tu mke ata Kama angekua mwanangu ambaye nawajibika kwa asilimia zote kumuhudumia

Awe anaumwa namuangakia adi nakopa kumbe yy kwenye kibubu chake chini ya kitanda ana hela ambayo ingetosha kununua ata dawa na aniambii! aisee..

Hicho kibubu navunja natoa ela naenda kununua jogoo mkubwa namkaanga fresh na hapati ata kiwiko mpuuzi mmoja huyo

Familia n jambo la umoja na ushirikiano, lazima tuungnishe nguvu kwa hiari na kujitoa mambo yaende, sio mambo ya kusikilizia, kujivuta...
 
Kuna baadhi ya wanaume akigundua una pesa kidogo hajishughulishi na kitu chochote humo ndani. Ndiyo maana huwa tunapiga kimya unakuwa unasaidia pale inapobidi
Na ukiona mwanaume kapoteza Dira .....mmezaa watoto na hupendi kuhangaika ...ndo unampiga za uso kwa ajili ya familia nzima ikiwamo yeye.

Anaweza akatekwa nyara akasahau familia ...kama hakuna msimamo kwa mwanamke ...ndoa ndo IMEKUFA. Siku akili zikimkaa sawa maisha yanaendelea kimkakati lkn.

Lakini kama mwanaume yupo responsible na majukumu yake haonekani kuchepuka,upendo tele.. HAKUNA HAJA YA KUFICHANA na ikiwa ishu inatokea mtu unajikausha kama haupo ....sio sawa kabisa....

Ila jitu linachepuka.....LAZIMA UISHI NALO KI MACHALE.
 
Nyie mnao mtetea huyo mwanamke ni wapuuzi. Na mtakuja kufa kwa ugonjwa unaohitaji million 1 tu upone ila mkeo bank ana million 10 na hatak kutoa hata buku... Wanawake ni watu wapuuzi sana, usione anakulilia shida ukadhani hana pesa, mwanaume upo bize unatafuta ada za watoto pesa ya kula familia yako, mwsho wa siku watoto wanarudishwa nyumban ada haitosh mwanaume unahangaika unaenda kukopa sehem ila mkeo kanyamaza kimya ndani kaficha mamilioni ya pesa...
 
Tutukane... Ila uzuri nimemfira mama yako dada yako... Na wew umekimbia mji kwasabab ulifirwa na mjomba ako ktk lile jumba bovu hadi ukarekodiwa... Rudi mtaani tumemiss huo mkundu...
After all hayo ni mat
Mr Director na Buyuni Kwetu mnazingua.

Kama mnataka kutukanana nendeni chemba mkatukanane vizuri.

Toeni kiwingu hapa
Asante sana. Huyo mpuuzi ndiye aliyeanzisha matusi ya kijinga.
 
Wanaume wengi ni wajinga. Mtoa mada yupo sahihi saaana. Kwa ujinga huu wanaume ndiyo tunaongoza kujinyonga, kuua, kufa kwa haraka, stress, depression na matatizo ya moyo.

Mtoa mada siku ukitaka kuipiga nyingine sema tujadili mbinu.
Ni kweli kabisa, eti hela za mwanamke ni za mwanamke? Usawa huu mtakufa kwa stress sana
 
Nyie mnao mtetea huyo mwanamke ni wapuuzi. Na mtakuja kufa kwa ugonjwa unaohitaji million 1 tu upone ila mkeo bank ana million 10 na hatak kutoa hata buku... Wanawake ni watu wapuuzi sana, usione anakulilia shida ukadhani hana pesa, mwanaume upo bize unatafuta ada za watoto pesa ya kula familia yako, mwsho wa siku watoto wanarudishwa nyumban ada haitosh mwanaume unahangaika unaenda kukopa sehem ila mkeo kanyamaza kimya ndani kaficha mamilioni ya pesa...
Kuna binamu yangu mkewe sijui pesa zake anapeleka wapi, imagine mtoto anataka hadi kurudishwa shule mume mambo yamekaa vibaya. Yeye katulia tu na hela zake. Siku moja mume kamtolea uvivu ndio akatoa hiyo hela ya ada. Yaani utadhani mtoto si wa kwake loh
 
Kwa ufupi sana.

Kuna wakati wife alipata changamoto ya kiafya. Matibabu yalikuwa gharama kidogo kutokana na safari za hapa na pale. Kuna wakati akiba ikakata ikabidi nijikopeshe kupitia vyanzo vingine.
3m - 2m = 1m
 
Kuna reply za wanaume wenzangu wanajiona ma gentlemen sana kwa kumtetea huyo mwanamke na kumtukana mwanaume mwenzetu..

Hivi Jambazi kama huyo unamuachaje salama?

nikuuguze wee mpaka kukopa Juu yangu kumbe una hela umetulia nazo tu? non sense

mzee malizia na hizo 2m ili atafute nyingine anavyojua
 
Back
Top Bottom