Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

Atakuharibia mwanao. Watoto wana tabia ya kuigana.
 
kitoto = mtoto
chake = wake
kina = ana
alikileta = alimleta
kije = aje
shida imeanzia hapo kwa jinsi ulivyomuelezea huyo mtoto wa miaka 6.

Nafikiri kaandika kulingana na sifa za mtoto alivyo.
Hajakosea.

Anajaribu kuelezea hadhira yake kuwa Mtoto alipitiliza kitabia mbaya

Katumia udogolesho, kukadharau n.k

Hata wewe dada ukiwa na tabia za hovyo lugha itakayotumika kukuelezea ni Lidada Kama unamwili mkubwa wa hovyo, au kadada Kama ni kahanduje mwenye mwili mwembamba.

Usipende kuleta USAWA kwenye mambo ambayo hayafanani.

Mtoto ni Yule mwenye tabia nzuri na maumbilw ya kawaida. Sifa zingine zikiongezeka basi lugha hubadilika
 
kitoto = mtoto
chake = wake
kina = ana
alikileta = alimleta
kije = aje
shida imeanzia hapo kwa jinsi ulivyomuelezea huyo mtoto wa miaka 6.
Na wewe ukiandika andika uonavyo sahihi kwako. Hicho kitoto kilikuwa kinalelewa kwa mazingira ambayo yangekifanya kikikua kiwe nacho hakielewi matumizi ya lugha.
 
Nafikiri kaandika kulingana na sifa za mtoto alivyo.
Hajakosea.

Anajaribu kuelezea hadhira yake kuwa Mtoto alipitiliza kitabia mbaya

Natumia udogolesho, kukadharau n.k
Hawaelewi hawa watu. Sababu wamekariri.... Hawakuelewa lugha na matumizi yake.
 
Hawaelewi hawa watu. Sababu wamekariri.... Hawakuelewa lugha na matumizi yake.


Hawajasoma dhima za mofimu hao.

Kwa hiyo walitaka mtu mwenye umbo kubwa tumuite mtu badala ya jitu😀😀 au kama anatabia za majitu mwitu msitu tumwite Mtu😀😀

Bamia kibamia
Mtoto. Katoto kenye mambo ya kitoto
Litoto lenye tabia za kishenzi.
Jimama lenye mswambwanda
Limama lenye roho Mbaya
 
Hujawahi kuona kitoto kinaitwa junior wewe
🤣🤣🤣 mtoto wa kaka angu anaitwa junior, kwa kweli alivyokuwa mdogo ilikuwa balaa ila kwasasa amekuwa ametulia amekuwa mtoto mzuri sana
 
Nakuunga mkono, mbwa za aina sitaki hiyo hata zikanyage kwangu, na-mind sana. Nina bahati mbaya kwamba kwangu kumekuwa kama kambi ya wakimbizi
 
Madikiteta ni weng sana na itachukua mda sana kuisha acha mfumo dume wa kijinga huo

Kla mtu anautaratibu wake wa kulea mtoto wake sasa usitake kla mtu alee mtoto km unavyolea wakwako ww unayoona ni tabia nzuri kwako kwa mingne ni mbaya cha msingi jaribu kueshimu utaratbu wa kla mtu na familia yake
Mwisho wa sku mtatengenezeana mabifu na machuki baina ya ndugu kisa watoto na inavyoonyesha ww sio yan ktk maongezi yako tu unaonesha umentamani kumpiga uyo mtt mda mrefu sana ni chance tu ndo ulikua ujapata
 
Sawa sawa baba junior!
 
Vitoto vya Dada vinaniogopaga Kuna muda hua najishtukia vinanionaje..maana sipendagi ujinga linapokuja suala la kuwanyoosha.
 
Tatizo wanataka kuwalea utafikiri ni mitoto ya kizungu. Wanasahau mitoto yenyewe ni miafrika bila fimbo haiendi.
 
Ujumbe bora kabisa huu tena wa mwaka kwa sisi wahenga...[emoji16]
 
We kilaza sana.... Una PHD ya Ukilaza. Yaani malezi yake ayalete kwangu? Akimlea hivyo kwake mimi inanipa shida gani? Sikumwita aje home. Kama amekileta kitoto chake home kwangu kitafuata taratibu zangu. Akiwa kwake akinyonye hata kinyesi sitamuuliza. Ila kwangu sitaki waharibu watoto wangu. Nyie mnaolelewa hivyo akili zenu zinakuwa goi goi sana. Huwa ni wagumu kuelewa. Mnakuwa mazezeta na wengi mnakuwa mlenda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…