Ni kweli kabisa ila hapo mimi ni dalali tuu
Halafu HAKIKISHA lina kutu na damu iliyokaukiaManeno ya IGP sirro yanafanya kazi sasa tuwe na mapanga ndani
Kwa ushahidi gani atakaoutumia ili huyo mwizi athibitishe ni Kitoabu ndiye amemuua huyo jamaa? Na motive iwe ni mwanamke? Haya sawa, mtaje huyo mwanamke ambaye bwana mwizi na kitoabu wanamjua.Ushauri.
Kimbia polisi katoe taarifa ukiwa na huyo rafiki yako , maana self defense sio kosa mkuu . Tofauti na hapo yule mwizi mwingine aliyekimbia anaweza akaenda kutoa taarifa umemuua mwenzake kisa mnagombania mwanamke huko mbele ukakosa utetezi
Wezi hawa wana leseni ndio maana wanatambaIla Kuna wezi wengine wapo tu huko kwenye maofisi wakitamba.
🤣🤣Nalihitaji hilo panga
Nalihitaji hilo panga
Ili iweje mkuu?Halafu HAKIKISHA lina kutu na damu iliyokaukiaView attachment 1869725