Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Kuua ni tofauti na kusababisha kifo.Kwa hiyo umetenda dhambi ya kuua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuua ni tofauti na kusababisha kifo.Kwa hiyo umetenda dhambi ya kuua?
Serikali ikifanya uchunguzi itagundulika tu ww ndie umemuua (Kama akifa)na sababu ulimtoa nje kwenda kumtupa hapo ndipo ulipofanya kosa kubwa litakalokupeleka kingiKwa ushahidi gani atakaoutumia ili huyo mwizi athibitishe ni Kitoabu ndiye amemuua huyo jamaa? Na motive iwe ni mwanamke? Haya sawa, mtaje huyo mwanamke ambaye bwana mwizi na kitoabu wanamjua.
Mwili wa binadamu ni complicated sana. Waweza kuta jamaa akapona
Ndio linakata na kuumiza vizuri zaidi yaani kupona hapo ni majaliwa au kwa kuchelewa sanaIli iweje mkuu?
We siulisema uganga umeuacha ..!?Nalihitaji hilo panga
Kwakua ukimtupa linakuaje kosa kubwa?Serikali ikifanya uchunguzi itagundulika tu ww ndie umemuua (Kama akifa)na sababu ulimtoa nje kwenda kumtupa hapo ndipo ulipofanya kosa kubwa litakalokupeleka kingi
Mwizi ninkuacha afe tu, wamewahi safisha geto langu enzi hizo na kuniachia ndala na mapazia tu, siwapendi wezi na wafage tu...nilianza upya kila kitu.Mungu anajua sijawahi liua jitu hata siku moja lakini ikitokea lile jamaa likafa shauri yake na familia yake, pumbavuu.
Mwaka jana nimeibiwa mara mbili nikahama mtaa...
Umenikumbusha kusini huko, kulikuwa na gari iligonga mti mkubwa barabarani na mtu akafa, na wengine kujeruhiwa. Looh watu wanachimba pale kuchukua udongo mpk shimo kubwa limetokea.Nalihitaji hilo panga
Jamaa atafute mahali pengine, Mijamaa itarudi kulipiza.Wenzake lazima watarudi kulipiza, hama hapo
Ndio ni kweli kabisaWe siulisema uganga umeuacha ..!?
Sawasawa lakini hata kama limejeruhi vizuri linafaa piaNgoja kwanza tupate uhakika kama limeua au lah..!!
Hahaaaaa! Mshana una udugu na vibaka? Au huwa unawatuma mgawane? Hirizi uliyompa ulimdanganya? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nalihitaji hilo panga
Alikuwa anajilinda. Asingejilinda ile nondo ingemwua yeye.Kwa hiyo umetenda dhambi ya kuua?
Alikuwa na silaha, sheria inaruhusu kujihami. Hata askari wanafundishwa.Umejichukulia sheria mkononi. Umevunja haki za huyo mtuhumiwa