Nimempiga mwizi mapanga mawili ya kichwa, akifa Mungu nisamehe

Mkuu, hawa jamaa hata kukaba kistaarabu hawajui.
Unaweza sikia wamemuua mtu kisa kisimu cha tochi tu.
 
Serikali ikifanya uchunguzi itagundulika tu ww ndie umemuua (Kama akifa)na sababu ulimtoa nje kwenda kumtupa hapo ndipo ulipofanya kosa kubwa litakalokupeleka kingi
Maisha tu, na maisha ni kama maji, usipo ya oga uta yanywa.
 
Oyah, poa ndugu zangu, wacha nivae nguo za uchizi nielekee maporini nikatafute madola ili siku moja tuje tuishi wote hapo bongo.
Naipenda Tanzania yangu, ila kwa sasa nimejikojolea (sina pesa) niki kutana nazo lazima nirudi tuje kuungana kudai Katiba mpya na kuomba kutolewa kodi za tozo.
Pamoja wadau.
 
Nimependa spirit yako ya kuwaaga wabongo wenzio kama hivi kabla ya kwenda kujilipua, Mungu akuongoze mpambanaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu alifanya uhalifu akajakamatwa kupitia kitabu alichoandika yeye mwenyewe...

Maandishi haya!
 
Dah....dadadeki....panga lenyewe hujui kulitumia...kwa taarifa tu ulikuwa mchubuko mdogo tu....nimeosha na mafuta ya taa....Niko vizuri tu....bahati yako uliniotea kutokea nyuma....nitarudi anytime....jiandae 😠
 
Ukamkata (kumbuka hapo ni gizani)akaanguka akadosha nondo alokuwa kashika mkononi na ukaiokota)(bado mpo gizani tuu hapo)alafu ukakata tena panga la pili.....
Ngoja niingie gym kwanza nitarudi badae
 
Umetenda dhambi. Unatakiwa utubu kwa Mungu wako usiku wa saa9.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…