Nimempigia kura Yeriko Nyerere kuwa mwandishi bora wa vitabu Afrika; wewe unasubiri nini?

Nimempigia kura Yeriko Nyerere kuwa mwandishi bora wa vitabu Afrika; wewe unasubiri nini?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mzee wa ujasusi napenda kukinukisha kwamba pamoja na tofauti za itikadi baina yetu wawili ila natambua uwezo wako mkubwa wa kusoma na kuandika.

Unastahili tuzo hata kama ukikosa basi tambua wewe ni mshindi. Niwaombe watanzania wenzangu tumpigie kura ndugu yetu may be akipata tuzo ataachana na mizimu ya Mbutu na kujongea kwenye altare Takatifu.

Vote for Yeriko Nyerere , vote for Tanzania
 
Mzee wa ujasusi napenda kukinukisha kwamba pamoja na tofauti za itikadi baina yetu wawili ila natambua uwezo wako mkubwa wa kusoma na kuandika.

Unastahili tuzo hata kama ukikosa basi tambua wewe ni mshindi. Niwaombe watanzania wenzangu tumpigie kura ndugu yetu may be akipata tuzo ataachana na mizimu ya Mbutu na kujongea kwenye altare Takatifu.

Vote for Yeriko Nyerere , vote for Tanzania
Asante, ngoja tumpigie
P
 
Mzee wa ujasusi napenda kukinukisha kwamba pamoja na tofauti za itikadi baina yetu wawili ila natambua uwezo wako mkubwa wa kusoma na kuandika.

Unastahili tuzo hata kama ukikosa basi tambua wewe ni mshindi. Niwaombe watanzania wenzangu tumpigie kura ndugu yetu may be akipata tuzo ataachana na mizimu ya Mbutu na kujongea kwenye altare Takatifu.

Vote for Yeriko Nyerere , vote for Tanzania
Sheikh Mohd Said yupo ktk ushindani? Nimpigie kura yangu
 
Mzee wa ujasusi napenda kukinukisha kwamba pamoja na tofauti za itikadi baina yetu wawili ila natambua uwezo wako mkubwa wa kusoma na kuandika.

Unastahili tuzo hata kama ukikosa basi tambua wewe ni mshindi. Niwaombe watanzania wenzangu tumpigie kura ndugu yetu may be akipata tuzo ataachana na mizimu ya Mbutu na kujongea kwenye altare Takatifu.

Vote for Yeriko Nyerere , vote for Tanzania
Haki ya Mungu Tanzania ni nchi ya vituko! Tena vituko kweli kweli! Yeriko mwandishi bora wa vitabu Afrika? Mbona ni kama utani ubaya sana mnafanya?
 
Hamna kitu hapo copy & paste tu.
Kwa mara ya kwanza naunga mkono maoni yako leo japo siyo kwa asilimia 100. Kwa nini: Vitabu vya Yeriko siyo copy and paste ila ni copy and disturbunce. Ni muunganiko wa maneno yasiyo na malengo maalum wala mantiki. Ni mental case. And I mean it. Kuna yule mzee marehemu akiitwa sijui Shika. Yule alikuwa ni mental case na Yeriko ni mental case ya aina yake.
 
Mzee wa ujasusi napenda kukinukisha kwamba pamoja na tofauti za itikadi baina yetu wawili ila natambua uwezo wako mkubwa wa kusoma na kuandika.

Unastahili tuzo hata kama ukikosa basi tambua wewe ni mshindi. Niwaombe watanzania wenzangu tumpigie kura ndugu yetu may be akipata tuzo ataachana na mizimu ya Mbutu na kujongea kwenye altare Takatifu.

Vote for Yeriko Nyerere , vote for Tanzania
ni nani huyu, na ni wawapi nami nimpigie kakura?
 
Kwa mara ya kwanza naunga mkono maoni yako leo japo siyo kwa asilimia 100. Kwa nini: Vitabu vya Yeriko siyo copy and paste ila ni copy and disturbunce. Ni muunganiko wa maneno yasiyo na malengo maalum wala mantiki. Ni mental case. And I mean it. Kuna yule mzee marehemu akiitwa sijui Shika. Yule alikuwa ni mental case na Yeriko ni mental case ya aina yake.
Ebooo ni mental caser tena
 
Mzee wa ujasusi napenda kukinukisha kwamba pamoja na tofauti za itikadi baina yetu wawili ila natambua uwezo wako mkubwa wa kusoma na kuandika.

Unastahili tuzo hata kama ukikosa basi tambua wewe ni mshindi. Niwaombe watanzania wenzangu tumpigie kura ndugu yetu may be akipata tuzo ataachana na mizimu ya Mbutu na kujongea kwenye altare Takatifu.

Vote for Yeriko Nyerere , vote for Tanzania
Alitamka wazi akishinda ataishukuru mizimu, hapo ndipo aliharibu nikasema basi mizimu ikampigie na nilimwambia wazi kwenye page yake.
 
Kwa mara ya kwanza naunga mkono maoni yako leo japo siyo kwa asilimia 100. Kwa nini: Vitabu vya Yeriko siyo copy and paste ila ni copy and disturbunce. Ni muunganiko wa maneno yasiyo na malengo maalum wala mantiki. Ni mental case. And I mean it. Kuna yule mzee marehemu akiitwa sijui Shika. Yule alikuwa ni mental case na Yeriko ni mental case ya aina yake.
Profesa Lumomba wa Kenya unamuweka kundi gani? Mimi huwa simukewagi japo kuna wanaomfagilia.
 
Kwa mara ya kwanza naunga mkono maoni yako leo japo siyo kwa asilimia 100. Kwa nini: Vitabu vya Yeriko siyo copy and paste ila ni copy and disturbunce. Ni muunganiko wa maneno yasiyo na malengo maalum wala mantiki. Ni mental case. And I mean it. Kuna yule mzee marehemu akiitwa sijui Shika. Yule alikuwa ni mental case na Yeriko ni mental case ya aina yake.
Watu mna utani mbaya sana.

Unawezaje kumlinganisha Bilionea wa mia tisa itapendeza (Shika) na mlima bamia wa Mbutu.
 
Back
Top Bottom