Nimempima UKIMWI nikakuta anao

Kwahyo mzigo ulikula au vp na je kama hukula hakukuuliza kwamba why umpime halafu usilambe mbususu?
 
Huyo anajijua kabisa ana ngoma ndio maana alikataa ndom alitaka akuambukize Mungu wako mkubwa hujakurupuka wengine wakiambiwa nimepima juzi anaamini na kupita kavu.
 
Pole mkuu ila inaonekana ulimnyandua
 
Kwahyo mzigo ulikula au vp na je kama hukula hakukuuliza kwamba why umpime halafu usilambe mbususu?

Sikula mzgo nlimwambiaa nmelewa sanaa tutafanya asubuh, nikamkumbatiaaa akalala kifuani mpaka asubuh...ilivofika asbh tukawa tumechelewa kuamkaa akasema anawah kazn atarud badae
 
Kabla sijatoa maoni yangu ningependa kumuuliza mleta mada kuwa ana utaalamu wowote wa hicho alichokifanya au ametumia uzoefu tu......???

Hv vipimo nlinunua box zima kwa nesi, akanielekeza jinsi ya kupima, mbali na apo sina uzoefu mwingine
 
Kiongozii, Alipima akijiamini na alitakaa mm nimuamini, hakuwa anataka kujua majibu yake, yy anasema alipima wiki mbili zilizopita so alitaka mm niamini na mm nlivompimaa sikuonesha mshangao wwte nikmwambia uko sawaa ndomana hajahojii
Bado angeshtuka tu maana hukuendelea na zoezi la kumgegeda. Lengo la kupima ilikuwa ufanye peku sasa na wewe ulisitisha mgegedo ndio hapo machale yangemcheza kulikoni huyu mtu hanifanyi chochote baada ya vipimo.
 
wewe vyako vinasomaje? umejichecki mara ngapi?
ukimwambia anaweza akakustaki kwa sababu wewe siyo daktari.atakugeuzia maneno atapata hela.maana utakuhisi utamdhalilisha kiasi atakosa mawindo ya mtaani kwenu
 
Hv vipimo nlinunua box zima kwa nesi, akanielekeza jinsi ya kupima, mbali na apo sina uzoefu mwingine
Hivi vipimo wala haviuzwi mtaani wala Hospitali. Vimeandikwa 'Not for sale'. Huyo Nesi labda angekupa vipimo viwili tena bure, kisha akupe maelekezo yakutosha. Sasa amekuuzia Box zima ni dhahiri wenye majukumu yao wakisoma huu ushahidi wako watakutafuta ili wewe na huyo Nesi muingie matatani.
 
 
Nakushauri mchukuane wote mwende mkapime tena hospital

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kuna upotoshaji mkubwa kwenye hii story mkubwa mnoo kuna vingi ameficha nilipitia hii hali hata mimi ya demu mwenye changamoto hiyo ila alikua nao ila alikua anatumia dawa mda mrefu sasa doctor wake anapochukua dawa alimwambia unaweza fanya sex na mtu usimuambukize cha muhimu usichubuke kwa kujiandaa vyema nilipita nae kavu baada ya mtu kunitonya kua hebu mpime nilipompima akawa positive ndo kusema ukweli nilijua na mimi nimeshaukwaa ila Mungu ni mwema nilipima mara tatu hakuna kitu nipo negative nilichokuja kujifunza ukimwi unapatika kana kwa michubuko mpaka blood transfusion iwepo. Na ile michezo ya kumkomoa mwanamke sijui upige mbususu mpaka itoe moto ndo safari ya ukimwi unaipata
 
Sikula mzgo nlimwambiaa nmelewa sanaa tutafanya asubuh, nikamkumbatiaaa akalala kifuani mpaka asubuh...ilivofika asbh tukawa tumechelewa kuamkaa akasema anawah kazn atarud badae
Labda kama hana utimamu wa akili kichwani, yaani umpime mtu kwa lengo la kumpandisha mlima halafu uzidiwe na pombe, kisha asubuhi umshiti halafu jioni hukumtafuta,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…