Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu napenda kuwapa taarifa kwamba nimempoteza Mzee Wangu Leo Hapo KCMC Moshi.
Mzee alikuwa anasumbuliwa na Kansa maana alikuwa na Ukungu Kwenye Maini.
Niko njiani naelekea Marangu-Kilimanjaro.
Asante sana Wakuu Wangu
Mzee alikuwa anasumbuliwa na Kansa maana alikuwa na Ukungu Kwenye Maini.
Niko njiani naelekea Marangu-Kilimanjaro.
Asante sana Wakuu Wangu