Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
Ww ngo'mbe kweli
Mm nlifiwa na mamangu nkiwa darasa la sita hata cjabalehe vizur
Nkiwa form 2 mshua nae akafa ndio kwanza naanza kupata wet dreams za kutosha
Ila maisha yalisonga tu kibabe kula ugali wa maziwa January to December fresh
Kukitokea sherehe au msiba mtaani mm na wadogo zangu ndio shule imeisha hivyo mpaka sharehe iishe au msiba waanue tanga
Ww komaa Tena ww mkubwa hivyo nlishakuwa nunda since nkiwa 12yrs
And you know what
Perish or victory no room for the weak person
Mm nlifiwa na mamangu nkiwa darasa la sita hata cjabalehe vizur
Nkiwa form 2 mshua nae akafa ndio kwanza naanza kupata wet dreams za kutosha
Ila maisha yalisonga tu kibabe kula ugali wa maziwa January to December fresh
Kukitokea sherehe au msiba mtaani mm na wadogo zangu ndio shule imeisha hivyo mpaka sharehe iishe au msiba waanue tanga
Ww komaa Tena ww mkubwa hivyo nlishakuwa nunda since nkiwa 12yrs
And you know what
Perish or victory no room for the weak person