TANZIA Nimempoteza baba yangu mzazi

TANZIA Nimempoteza baba yangu mzazi

Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu!

Ila bado mi nakupinga hapo kwenye kupambana kutafuta kazi

Hapo ndipo wasomi wetu wengi mnapo fail,

Unahis utapambana mpaka mwaka gani?

Jiajir bro acha kupoteza muda, utakuja kukumbuka shuka kumeshakucha

Wasomi wa siku hz mnashida gan?
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana, Mungu akutie nguvu.
 
Pole sana buda, uyatima mwisho miaka 18.... inuka pambana.
 
Hi jambo linauma sana, hakuna mfano wake wala neno lake la kuelezea machungu yake.

Mkuu, pole sana.
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana, R.I.P Baba.
 
Pole sana mkuu.
Imempasa kupumzika maana kwake tumetoka na kwake tutarudi
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu, Mungu awatie nguvu na faraja kipindi hiki kigumu na cha majonzi kwenu. Poleni sana.
 
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Roho ya marehemu Baba ipate pumziko la milele apumzike kwa amani Amina, pole sana ndugu ni kipindi kigumu sana ktk wakati huu, Mungu awe mfariji wenu mkuu ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na Baba.
 
P
Nimempoteza baba yangu mzazi

Sijui hata nisemeje

Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]

Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi

Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole ndugu yangu, Mungu akupe faraja!
 
Nimebaki yatima mimi
emoji24.png
emoji24.png
emoji24.png
emoji24.png
Mkuu jipe moyo, hauko pele yako aliyewahi kufiwa. Hata hivyo mkuu wewe katika umri wako huo, huna sifa tena kuitwa Yatima! Wewe ni mfiwa tu!
 
Back
Top Bottom