Adam Clark
Member
- Oct 7, 2023
- 31
- 80
- Thread starter
- #21
JF shkamoo🙌🙌🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwez cheat my man tuanzie hapo kwanzaWewe nikikuomba umenicheat utatoa?
Yeah! Wanawake smart huwa hawacheatSiwez cheat my man tuanzie hapo kwanza
Kweli hauwezi kunicheat au unasema tu ?Siwez cheat my man tuanzie hapo kwanza
Akikucheat akajilizaliza Dawa yake ili muendelee muombe akupe GOTI akigoma muache aende usimlazimisheYeah! Wanawake smart huwa hawacheat
Mwanamke akipenda hacheat mwanaumeKweli hauwezi kunicheat au unasema tu ?
Kwa hio Mama la Mama umependa hapa kucheat no?Mwanamke akipenda hacheat mwanaume
Ndio GOTI hivyo hivyo Bondpost muelewesheGoti ndio nn
Tushakuambia ni kitindu huzuni au soma hilo neno kuanzia mwisho utapata majibu. 👌👌👌👌Goti ndio nn
GOTI kunja GOTITushakuambia ni kitindu huzuni au soma hilo neno kuanzia mwisho utapata majibu. 👌👌👌👌
Wewe si unataka kupooza machungu au unataka nini? Muombe akupe GOTI akikugomea muache aendeAhh sawa sasa linahusianaje na kusalitiwa inamana ukimkaza hapo ndio kitu kikubwa mwanamke kukupa
Kunja GOTIUsitufokee
Wahuni si watuAsee ni hatari
Si ndio namna ya kumaliza machungu yako maana huyo aliyemla unadhani amemrarua kiasi gani? Mijitu inayokupigia huwa inararua kila shimo daaadeks heri nawe upewe kama unataka kukaa machungu yapungue otherwise achukue time.Ahh sawa sasa linahusianaje na kusalitiwa inamana ukimkaza hapo ndio kitu kikubwa mwanamke kukupa
Umemaliza kila kitu wanaopiga mademu wa watu na wanajua huyu ana mtu wake hua wanafumua kotekote piga mbele piga nyuma na hakatai anampa omba Wewe mwenye Mali sasa unanyimwa, kukata mzizi wa fitna omba akupe GOTI umalize mchezo isiwe kesi kubwa sanaSi ndio namna ya kumaliza machungu yako maana huyo aliyemla unadhani amemrarua kiasi gani? Mijitu inayokupigia huwa inararua kila shimo daaadeks heri nawe upewe kama unataka kukaa machungu yapungue otherwise achukue time.
Huwezi sahau hilo ni kovu la maisha mkuu kubali kuishi nalo.Huyu mwanamke ananipenda sana ila sijui kwanini alinisaliti, aliomba msamaha nikamsamehe yakaisha ila nikikumbuka naumia mno sometimes.
Ila siwezi kumuacha maana hata mimi nampenda sana yaani ila shida ni kwamba nitasahau lini haya maumivu?
Usimsamehe mkuu, utaishi nae kwa maumivuHuyu mwanamke ananipenda sana ila sijui kwanini alinisaliti, aliomba msamaha nikamsamehe yakaisha ila nikikumbuka naumia mno sometimes.
Ila siwezi kumuacha maana hata mimi nampenda sana yaani ila shida ni kwamba nitasahau lini haya maumivu?
Muoe, hizo mistakes zitakugharimu sanaHuyu mwanamke ananipenda sana ila sijui kwanini alinisaliti, aliomba msamaha nikamsamehe yakaisha ila nikikumbuka naumia mno sometimes.
Ila siwezi kumuacha maana hata mimi nampenda sana yaani ila shida ni kwamba nitasahau lini haya maumivu?
Jipe muda tu ndugu yangu, huwa yanasahaulika ila kuna kuwa na gharama ya muda inayoambatana na maumivu , pole lakini.shida ni kwamba nitasahau lini haya maumivu?