Nimemsamehe kwa dhati Rafiki yangu licha ya kutembea na mchumba wangu.

Na wewe mwanaume wa kweli hapendi mwanamke...na lazima atakuwa anagegeda nje ...ukikaa na mkeo tuu utakuja lilia kwa choo. Hao kugawa papuchi sio ishu
Ndio maana Mimi nitachelewa sana kuoa, tokea nilivyomegewa nimekuwa kuwa muoga sana kujiingiza.
 
Nijibu hili swali.
Sawa huyo Dada kazalishwa but inaonekana bado yupo moyoni mwako
Je why usimrudie?? Naona kama bado wampendaaaa.(mbona nyie mkifanya hayo huwa mnasamehewa??

Sent using Jamii Forums mobile app
Maishani mwangu siku zote nilikuwa sijawahi penda haswa haswa Mara nyingi huwa natamani( matamanio ya kimwili) lakini kwa huyu binti nilitokea kumpenda tokea moyoni haswa haswa ndomana siwezi msahau, labda siku ikatokea nimempata mwingine ntayempenda kwa dhat tokea moyoni at least taswira yake ndo inaweza jaribu futika. Alishaniomba msamaha yakaisha though nilimwambia hatuwez kuwa pamoja tena. Kwa sasa sina hisia nae mtu wa dizaini hii anayetembea na rafiki yko wa karibu hashindwi kuja kutembea hata na ndugu yako wa damu. Fanya makosa yote wanaume wengi watasemehe lkn kosa la kugongewa na akathibitisha huwa ni ngumu kumeza Mkuu.
 
Nijibu hili swali.
Sawa huyo Dada kazalishwa but inaonekana bado yupo moyoni mwako
Je why usimrudie?? Naona kama bado wampendaaaa.(mbona nyie mkifanya hayo huwa mnasamehewa??

Sent using Jamii Forums mobile app
Sii upuuzi wenu wenyewe kwa kusamee....huo ujinga wanaume hatunaga. Wewe mandela aliwasamehe makaburu waliomuweka ndani miaka 27 lakini alipo gundua winnie kagawa papuchi hakusamehee. Tafakari hilo kwanza
 
Ndio maana Mimi nitachelewa sana kuoa, tokea nilivyomegewa nimekuwa kuwa muoga sana kujiingiza.
Wala usiwe na presha kaka ya kuoa....wanawake wamejaa tele wee tuwagegede kwanza muoa kitu gani kudanganyana tuu
 
Hivi nani mwingine akisoma Uzi huku anakimbilia kuangalia ID ya mtu na join date ya huyo member ili aunganishe nitukio la kweli au chai?
Mkuu basi nimecheka tuu ulivyomsamehe baada ya kisasi.[emoji23]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
hiki ni kisasi kizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungemtia na mimba kabisa mwenzako alitia na mimba wako bado ujamla vzr tia mimba jombaa

121.
 
Mwanangu wewe ni shetani
 
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihhhhhhhhh..........
 
Mwambie Nikikutana nae nitampiga sana mangumi[emoji23][emoji23][emoji23]!
Jmn ameona njia sahihi ya yeye kuishi kwa amani ni kulipiza kisasi cha amani na ameweza...kosa liko wapi?[emoji1787][emoji1787]
 
Jmn ameona njia sahihi ya yeye kuishi kwa amani ni kulipiza kisasi cha amani na ameweza...kosa liko wapi?[emoji1787][emoji1787]
Jmn ameona njia sahihi ya yeye kuishi kwa amani ni kulipiza kisasi cha amani na ameweza...kosa liko wapi?[emoji1787][emoji1787]
Hakuna kosa ebu acha mambo yao tuwaachie wenyewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…