Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
- Thread starter
- #81
Kiukweli hata kama ningekua mm lazma ningehakikisha jamaa anajua....haina maana ya kulipiza kisasi alafu adui yako asijui kama umelipiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipo napiga mechi zangu za mwisho mwisho kisha namwachia jamaa zigo lake as I said hapo juu Toto linahamasisha kweli kweli kila nikitaka kulikimbia nikikumbuka majambozi yake na na lile joto lake nakuwa mpole najisemea kimoyo moyo ngoja nilifaidi faidi kwanzaMkuu itakuja kukucost.....pora upoge revange moja kubwa and let your enemy knows then sepa mazima na huyo mke wake achana nae mazima kuliko kuendelea kula kimya kimya....siku jamaa akianza kumtrace mkewake then akajua ni ww atakutafutia siku atakufumaniwa na atakufira na wahuni....then who atakua kafaidi? Zaidi utakua umelose pakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app