Nimemsamehe kwa dhati Rafiki yangu licha ya kutembea na mchumba wangu.

Nimemsamehe kwa dhati Rafiki yangu licha ya kutembea na mchumba wangu.

Ni kweli kwenye maisha yatupasa kusamehe hapo waitane kila mtu aeleze ya moyoni akili makosa yake maisha yaendelee mana ukila cha mtu nawe chako kitaliwa sema kuna kitu nimejifunza hutakiwi kutema bigijii kwa karanga za kuonjeshwa uyu ni mdada alikuwa na mtu wake anampenda sana akaona amsaliti matokeo yake jamaa kampiga chini kwa sasa ni single mom

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hafu ujue kosa tutendalo huwa twalipiza kisasi mtu ametenda jambo baya mwite ongeeni ya moyoni ombaneni msamaha utqshangaa moyo unakuwa mweupe kisasi huumiza,na maisha haya for every action kuna equal reaction lazima ile kwako. Pia watu wawe waaminifu kwa wenza wao. Ona sasa Dada ni single mom mchepuko kaoa naye mkewe hatulii na hapo kakutana na jamaa hamjui jee wanaume wanaohonga. Karma is a bitch walah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mkewe wa ndoa atagongwa maisha yatupasa kutenda wema maana kila ulitendalo na wewe litakurudia ukitenda mema utavuna mema, kisasi ni kibaya na hurudi Mara nyingi,ndo ile huitwa karma,sasa ngoja aje awekewe mtego wamfanyie mbaya sehemu za siri hazikomoleki

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijawahi tamani wake ama girl friendz wa rafiki zangu, huwa nawaheshimu sana!!! Lakini huyu mtu why alitembea na mtu anayejua Mimi Niko naye!!! Aise Mkuu hii kitu ilinitesaga sana kwa yule Dada nilikuwa nimewekeza sana kuanzia nafsi na kila kitu. Najua nimefanya makosa sana namimi naona haya ndo malipo yake stahiki. Mkuu ina uma sana kuchapiwa na hasa na mtu uliyekuwa ukiishi nae kama ndugu hakika kwangu yule alikuwa ni mnyama namimi ndomana nimeuweka utu pembeni nine amua kuwa mnyama.
 
Kweli hafu ujue kosa tutendalo huwa twalipiza kisasi mtu ametenda jambo baya mwite ongeeni ya moyoni ombaneni msamaha utqshangaa moyo unakuwa mweupe kisasi huumiza,na maisha haya for every action kuna equal reaction lazima ile kwako. Pia watu wawe waaminifu kwa wenza wao. Ona sasa Dada ni single mom mchepuko kaoa naye mkewe hatulii na hapo kakutana na jamaa hamjui jee wanaume wanaohonga. Karma is a bitch walah

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema namuonea sana huruma uyo single mom washikaji wote wameoa kabaki njia panda hajui cha kufanya mwisho wa ubaya ni aibu uzi umetupa somo fulani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijawahi tamani wake ama girl friendz wa rafiki zangu, huwa nawaheshimu sana!!! Lakini huyu mtu why alitembea na mtu anayejua Mimi Niko naye!!! Aise Mkuu hii kitu ilinitesaga sana kwa yule Dada nilikuwa nimewekeza sana kuanzia nafsi na kila kitu. Najua nimefanya makosa sana namimi naona haya ndo malipo yake stahiki. Mkuu ina uma sana kuchapiwa na hasa na mtu uliyekuwa ukiishi nae kama ndugu hakika kwangu yule alikuwa ni mnyama namimi ndomana nimeuweka utu pembeni nine amua kuwa mnyama.
Mkuu pole sana inauma sana mimi binafsi huwa kwenye maisha yangu sijawai kutembea na mwanamke ambae najua fika kabisa anatoka na nani kiukweli huwa sina nyege kabisa demu wa rafiki yangu siwezi lakini kuna mijitu kazi yao kuvizia mademu wa washikaji zao hii ni hatar sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo hali hutokea na inaumiza kiakili wewe msamehe.mtoe moyoni achana na huyo mkewe kila ukizini naye unaongexa tu dhambi na ukiona mkewe maumivu hayaponi kamwe. Find ur own peace mwombe Mungu uchungu ukutoke maana sasa hapo unajifungua baraka ya kuja pata mwanamke wa ubavu wako maana na wako atachepuka ka kisasi. Do not revenge that was a lesson na nyie wanaume ukiona best yako hutongoza mpenzi wake, hyo very bad. Achana na huyo mkewe wajiumiza kisasi ni juu ya Mungu
Mimi sijawahi tamani wake ama girl friendz wa rafiki zangu, huwa nawaheshimu sana!!! Lakini huyu mtu why alitembea na mtu anayejua Mimi Niko naye!!! Aise Mkuu hii kitu ilinitesaga sana kwa yule Dada nilikuwa nimewekeza sana kuanzia nafsi na kila kitu. Najua nimefanya makosa sana namimi naona haya ndo malipo yake stahiki. Mkuu ina uma sana kuchapiwa na hasa na mtu uliyekuwa ukiishi nae kama ndugu hakika kwangu yule alikuwa ni mnyama namimi ndomana nimeuweka utu pembeni nine amua kuwa mnyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana inauma sana mimi binafsi huwa kwenye maisha yangu sijawai kutembea na mwanamke ambae najua fika kabisa anatoka na nani kiukweli huwa sina nyege kabisa demu wa rafiki yangu siwezi lakini kuna mijitu kazi yao kuvizia mademu wa washikaji zao hii ni hatar sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi huona wivu hawajui jinsi inaumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana mwanawane...wee ndjo mwanaume halisi achana na hawa wapuuzi wakuenda kuwafumua marinda wanaume wenzao na kubaki na mwanamke. Dawa ni kuwagegeda tuu wanawake basi na pia hsije penda tena kaka. Hawa wanawake waheshimu tuu kama mama na dada zstu lakini mwanamke goyote akishakuvulia chupi basi huyu kamwe hsifange kosa la kumpenda
 
Back
Top Bottom