Nimemsikia Makamba akijaribu kutisha wabunge kwa kutumia jina la 'Rais Samia' badala ya kueleza udhaifu wake

[emoji871]Makamba analeta uswahili kwenye shoti ya Umeme?

[emoji871]Hii wizara haijawahi kumuacha salama waziri yeyote mpigaji.

[emoji871]Kumbukumbu inanikumbusha waziri Msabaha na waziri Ngeleja kwa madudu ya utawala ule wa JK.

[emoji871]Ni suala la muda tu,team Msoga wataumbuka

[emoji871]Kama walivyoanza kuumbuka kule GSM!
 
Ccm haijawahi kuwajali wananchi zaidi ya kujali matumbo yao.

Ccm lazima iondoshwe kabisa ndiyo Tanzania itapiga hatua kimaendeleo.
 
Anatuomba sisi,Bunge,Au aliemteua hiyo miaka minne ? Jamaa hopeless kabisa 😂
 
Muda upi.uwezo mdogo mnabebana bebana tu.
 

alichokuwa anaeleza ni kwamba kuna madeal ya kusupply vifaa tanesco. Hakuna kitu kingine. Huyu ni front ya mafisadi na wafanyabiashara tu
 
Mbona kwenye pesa wanasema za Samia na pia wanamshukuru na watu wote tunakubali .... Kwa huu mtindo waliotujengea wa kusifiasifia viongozi, mimi naona kwenye mabaya au pale mambo yanapoharibika lazima pia abebeshwe ZIGO ...!!
 
Wewe kwa Akili yako unaona ni Nani aliye mzuri Kati yao Kati ya Magufuli aliye iacha nchi gizani huku akiwambia ninyi mazuzu mpo uchumi wa kati na ni donor country, au aliyekuwa masaidizi wa Magufuli wakati huo amabaye amemteua Makamba kuwa waziri?
 
Malope ni mwepesi sana, badala astick kwenye majibu ya maswali alioyatengeneza yeye mwenyewe kwa utetezi wake why umeme unakatika katika

Yeye anaanza kujitetea eti tatizo ni Waziri na Rais basi wapewe muda kama waliowatangulia si ni wehu huo?

Bure kabisa!
 
Wakati mwingine huwa najiuliza ni kwwanini Bunge lisinge kuwa linaagiza Mhandisi Mkuu wa sehemu husika kuja kutoa maelezo badala ya kusikilisa majibu ya wanasiasa?
h
 
Walisemaga siku nyingi january hana uwezo anabebwa kwa mbeleko na jk. Mtu unatoka na degree yako usa unapewa kazi ikulu bila uzoefu wowote. Huku nyuma habari uliwahi iba mitihani ukafutiwa matokeo😂,. Halafu unapenda upigaji na ukuu kwa kutamani urais😂. Eti anatolewa Phd holder anawekwa mwenye historia ya kuiba mtihani. Tanesco kapanga line ya wapigaji watupu. Tunasubiri tumeanza ona game lao wanavyoanza.
 
Huyu kipara ni mweupe tu kichwani.

Ndio matokeo ya kuwapa uongozi kwa favour.

Huyu ameishi viunga vya ikulu since 2007 sasa ndio wanainuana tu hata kama huna uwezo.
 
mnamuandamana sana huyu kijana, kutakuwa na shida sio bure kwakweli...
 
Upo sahihi jamaa ana defense mechanism in name of chf hangaya asee kumbe kwel jama anapwaya sana nmeamini
 
Ukiona waziri anaulizwa swali yeye anajificha kwenye mgongo wa Rais ujue Huyo waziri hana AKILI hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…