GentleGiant
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 585
- 546
Mtume alioa mtoto wa miaka sita na kuanza kutembea naye akiwa na miaka 9.Je, quran inasemaje kuhusu Umri wa ndoa kwa mtoto wa kike?
6 years old Aisha alikuwa attracted kwa 50 years Mohamad?Hio inakuwa forced marriage...
a 12year old can't be attracted to a 40yr old
Maelekezo ya mungu kama yale ya Mohamad kuoa aisha wa miaka 6?Umenielewa. Kuwa si kila tunacholetewa tukibebe kama kilivyo kwani hata serikali zao za majimbo hawafati.
Sasa wazo la wasichana bora kufanya zinaa lkn asiolewe ni la serikali kuu ya marekani.
Hawa ni mashetani
Bora tufate maelekezo ya MUNGU ambayo hayazuiii msichana akiwa na baleghe na sawa na mila wa jamii husika.
Ni suala la muda tu utawaingilia watoto kimwili kwa siri sana maana sheria itakayomlinda itakuwa na nguvu.Miaka 14 kama anaziona siku zake kila mwenzi huyo sio mtoto labda kwenu nyiyi wakirisito ss waisilamu tayali huyo afaa kuolewa
Wewe hapo upo tayari kumuozesha binti yako wa miaka 9?Akianza kuona damu kila mwezi na kuota nywele chini kwa mujibu wa sheria ya uisilamu tayali kuolewa
Hiyo miaka 14 ni mingi sana kwa mujibu wa imani ya wavaa kobazi....Vile ilivyo ngumu kumhubiri Mungu asiyebadilika kwa jamii inayobadilika
Ndivyo ilivyo ngumu kwa viongozi wa imani wasioona mabadiliko ya jamii kufundisha dini
Yaani spati picha mimi mama d nawezaje kuruhusu mabinti zangu waolewe wakiwa na miaka 14 ya kuzaliwa, yaani[emoji27][emoji27][emoji27]
Kwa nini unakomaa na 14? Si useme 6 kabisa kama ya mtume? Au unaona aibu kuitetea na hiyo 6 ya Suna ya mtume?Miaka 14 kama anaziona siku zake kila mwenzi huyo sio mtoto labda kwenu nyiyi wakirisito ss waisilamu tayali huyo afaa kuolewa
Hahaha dini ni kilevi cha watu masikini"Religion is an opium to the people" nimemaliza kunukuu
That's forced marriage I'm against that.6 years old Aisha alikuwa attracted kwa 50 years Mohamad?
Parents' / Guardians' fault.Ni suala la muda tu utawaingilia watoto kimwili kwa siri sana maana sheria itakayomlinda itakuwa na nguvu.
View attachment 2578640
Haki yako kuwa ponda viongozi wetu wa dini inasukumwa na ufahamu wako mdogo kila mtu yuko na haki ya kutetea imani yake sheikh akitetea imani yake kakosa akili ila akiunga mkono hoja inayo pinga imani yake na kutetea imani nyingine kawa na akili,kitendo cha kutaka ponda aipinge imani yake awe upande wa imani yako wewe ndie usie kuwa na akiliNdo maana mm nikimwona shekhe ana upeo mkubwa wa kufikiria huwa nashangaa sana! Ni mara chache sana kwenye hii dunia. Huyo shekhe kutokua na akili timamu ni jambo la kawaida
Yeye angepinga tu Hilo kutaka reference za dini yake zifuatwe Kwan serikal inaendeshwa na dini! Kwa hyo we ulitaka hyo ibadishwe kwa kuwa dini ya kiislam inataka hvyo?Haki yako kuwa ponda viongozi wetu wa dini inasukumwa na ufahamu wako mdogo kila mtu yuko na haki ya kutetea imani yake sheikh akitetea imani yake kakosa akili ila akiunga mkono hoja inayo pinga imani yake na kutetea imani nyingine kawa na akili,kitendo cha kutaka ponda aipinge imani yake awe upande wa imani yako wewe ndie usie kuwa na akili
Wakati Lile jiwe kuu jeusi lipo huko wanatoka dunia nzima kwenda kulizunguka na Waafrika hukanyagana makusudi wakiamini kuwa wakifia huko ni mbinguni Moja kwa Moja. Ndio huko huko kuitwako kibla ambako wakisali lazima waangalie huko, wakifa huzikwa uelekeo huo huoKwa hiyo unataka kusema Saudi Arabia hawafuati uislamu? Achaga ukapuku
Dini ya ajabu hii,?? Waanze na vitukiuu vyake maana naamini watoto na wajukuu walikwisha kuvuka miaka 9. Hapo anaongea kana kwamba vitoto vya kike ni vya watu wengine na haviwezi kutoka kwenye nyumba yakeLeo nimemsikia Sheikh Ponda akisema kuwa hakubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria kupeleka muswada wa umri wa ndoa kuwa miaka 18. Anadai kuwa ni kinyume na dini ya Kiislamu kwa sababu miaka 18 ni sera ya Wakatoliki.
Kusema kweli kwa maneno haya nimeanza rasmi kumdharau Sheikh Ponda kwa sababu nchini Saudi Arabia, nchi ambayo ndo kitovu cha imani ya dini ya Kiislamu ulimwenguni umri wa ndoa ni miaka 18.
Sasa Sheikh Ponda sijui anasema Uislamu gani? Ifike kipindi sasa watu waache kutumia dini kuendekeza tabia zao za kipuuzi. Serikali iko sahihi kuweka umri wa ndoa kuwa miaka 18.
View attachment 2577735
Maneno ya Mungu ya uhakika hadi sasa ni Quran pekee.Maelekezo ya mungu kama yale ya Mohamad kuoa aisha wa miaka 6?
Hahaha... Unaikana Sahih Al-Bukhari?Maneno ya Mungu ya uhakika hadi sasa ni Quran pekee.
Taarifa zzt nyengine zimechezewa. Zipo Disinformated Na waathirika wa vita hiyo ni pamoja na waislam wenyewe.
Hakuna maelezo kama hayo ndani ya quran.
zama zetu kundi moja kuchukia kundi mengine kwa sababu ya uongo wa kutengenezea disimformation
Huna Lolote,mbambala tu wewe.Biology umesoma hadi level gani ya Elimu?.Mimi siyo muislam ila kibaiolojia haina haja ya kungojea miaka 18 kuolewa.