Sipendi kuzungumzia sana historia. Kwani si kazi yetu sisi wanadamu kuisoma na kiubugu kama tunavyofanya, kutaka kukaza mishipa ya shingo kukutolea maandiko ya historia ambayo hayana msaada wowote kwetu kwa sasa.
Historia inafanya kazi kipindi hiki pale tu unapoona kwamba una matatizo, na tunachotakiwa kufanya ni kuchunguza njia ya kihistoria inayotumiwa duniani kote na wengine ambao walikuwa na matatizo sawa na yetu.
Na unapogundua wao jinsi walivyopata suluhisho wasi tukocopy kuumiza kichwa ni jinsi gani unaweza kupata masuluhisho ya kwaako..
Kama alivyokuwa Yesu, Muhammad pia hawakutaka kukariri historia walizozikuta. Walitaka wao watengeneze historia yao. Kwa maana nyingine badala ya sisi ya kulipa kazi ya kusema historia; sisi tunapaswa tuipe kazi historia ituandike.
We need to make history than read history.
Lakini tuelewane historia utakayoiandika leo baada ya 50 itakuwa imeshapotoshwa na waandishi kwa asilimia 99%.
Sawa na vitabu vya dini. Kalamu za waandishi zimeifanya kuwa uwongo. (Yeremia 8:8)
Kwa kuzingatia hilo Quran ikawekwa Code ili anaetaka kupotosha ajione mwenyewe yu mjinga.
This Website is dedicated to providing information about the mathematical miracle of the Quran based on number 19. Its one of the great miracles.
www.19miracle.org
sasa moja ya sifa ya hadithi ni lazima iendane na ayah ya quran. Ambayo hii haina mashaka. Pili moja ya sifa ya quran ibaendana na kanuni ya naumbile (universal). Aya zote ziko hivyo.
Sasa ukiona hadithi unapingana na kanuni za maumbile hizo ni hadithi bandia au hutumika neno Dhaifu.
Sahihi bukhari ni kitabu kilichotungwa miaka 200 iliyopita. Kinaweza kuwa na mapumgufu kwa bahati mbaya au yaliyotengezwa.
======
nijibu sasa imgawa siko tayari kuendelea na
Hakuna Mahali Paulo amesema Yesu ni Mungu. NARUDIA TENA, HAKUNA. Na hata nikikuambia unioneshe hapo mahali HUTOWEZA, kwa sababu Hapapo.
Tito 2:13 Warumi 9:5 Wafilipi 2:5
Pili, Bible haijachezewa... nikikutaka unionyeshe mahali Bible ilipochezewa HUTAWEZA kunionesha.
Yeremia 8:8
=======
Muhimu wasichana mwenye matamanio na aoelewe.
Hakuna kuendeleza zinaa na mkishajuana kuja kama mnavyopigania.
Ibaki hivyo. Tusije ondoka mwenye
mada kuu.
Na ukitaka ushahidi wa hadithi ndio huo hadithi yyt isiyoendana na Quran, au maumbile hilo si andiko na mwongozo wa waislam hao ni kina luka na Theofilo ambao hata yesu hakumuona lkn nao ni mwanafunzi wake. Luka 1:1
Unaweza kuwandikia historia sahihi ya uhuru watoto wako ambapo wewe hukushuhudilia.
Historia haina maana yyt iwapo tutaamua kuiabudu.
Mjadala mkuu ni kutaka kutengeza historia ya watoto wetu
Na suala muhimu la kulijadili na pengine kulipigia kura ni je watoto wetu aruhusiwe kuoa au kuolewa huku zikiendelea kusoma au waendelee kufanya zinaa huku zikiendelea kusoma.
Bila shaka kura za maoni zitaakisi matenzo yetu tuliyoyashadidia na kutaka jamii yote iige.
Sisi wengine hatuko tayari kuoshi kwanza kwa kusomana na baadae kubariki ndoa. Si ktk mafundisho ya Elio au Allah