Imani za watu za kuoa watoto wa miaka 6 kama Mudi?Wagalatia kwanini munateseka na Uislmau? Kwani mumelazimishwa nyinyi kuoza mabintu wenu wakiwa na 15? Waachane wanaotaka wafanye, na acheni kuteseka na Imani za watu.
Na kwa hili wazungu wapo sahihi. Hata waarabu wa Saudi Arabia wamewafuata wazungu...mmebaki nyie waarabu wa ikwiriri tu
Imani za watu za kuoa watoto wa miaka 6 kama Mudi?
Haya endeleeni kuozesha watoto wenu wa miaka 14
Ila madhila yanayowapata wengine wanajuta kuzaliwa na wengine wanakimbia ndoa na kuishia kusitirika kwa hao mnaowaita mapagani. Sasa sijui hekima ya Mungu ndani yenu ilienda wapi
Sipendagi haya majadiliano ya kidini na watu wa Imani Tofauti na ya kwangu lakini hapa naomba nikusaidie kwenye Hii Yeremia 8:8Sipendi kuzungumzia sana historia. Kwani si kazi yetu sisi wanadamu kuisoma na kiubugu kama tunavyofanya, kutaka kukaza mishipa ya shingo kukutolea maandiko ya historia ambayo hayana msaada wowote kwetu kwa sasa.
Historia inafanya kazi kipindi hiki pale tu unapoona kwamba una matatizo, na tunachotakiwa kufanya ni kuchunguza njia ya kihistoria inayotumiwa duniani kote na wengine ambao walikuwa na matatizo sawa na yetu.
Na unapogundua wao jinsi walivyopata suluhisho wasi tukocopy kuumiza kichwa ni jinsi gani unaweza kupata masuluhisho ya kwaako..
Kama alivyokuwa Yesu, Muhammad pia hawakutaka kukariri historia walizozikuta. Walitaka wao watengeneze historia yao. Kwa maana nyingine badala ya sisi ya kulipa kazi ya kusema historia; sisi tunapaswa tuipe kazi historia ituandike.
We need to make history than read history.
Lakini tuelewane historia utakayoiandika leo baada ya 50 itakuwa imeshapotoshwa na waandishi kwa asilimia 99%.
Sawa na vitabu vya dini. Kalamu za waandishi zimeifanya kuwa uwongo. (Yeremia 8:8)
Kwa kuzingatia hilo Quran ikawekwa Code ili anaetaka kupotosha ajione mwenyewe yu mjinga.
MIracle of 19 in the Quran
This Website is dedicated to providing information about the mathematical miracle of the Quran based on number 19. Its one of the great miracles.www.19miracle.org
sasa moja ya sifa ya hadithi ni lazima iendane na ayah ya quran. Ambayo hii haina mashaka. Pili moja ya sifa ya quran ibaendana na kanuni ya naumbile (universal). Aya zote ziko hivyo.
Sasa ukiona hadithi unapingana na kanuni za maumbile hizo ni hadithi bandia au hutumika neno Dhaifu.
Sahihi bukhari ni kitabu kilichotungwa miaka 200 iliyopita. Kinaweza kuwa na mapumgufu kwa bahati mbaya au yaliyotengezwa.
======
nijibu sasa imgawa siko tayari kuendelea na
Hakuna Mahali Paulo amesema Yesu ni Mungu. NARUDIA TENA, HAKUNA. Na hata nikikuambia unioneshe hapo mahali HUTOWEZA, kwa sababu Hapapo.
Tito 2:13 Warumi 9:5 Wafilipi 2:5
Pili, Bible haijachezewa... nikikutaka unionyeshe mahali Bible ilipochezewa HUTAWEZA kunionesha.
Yeremia 8:8
=======
Muhimu wasichana mwenye matamanio na aoelewe.
Hakuna kuendeleza zinaa na mkishajuana kuja kama mnavyopigania.
Ibaki hivyo. Tusije ondoka mwenye
mada kuu.
Na ukitaka ushahidi wa hadithi ndio huo hadithi yyt isiyoendana na Quran, au maumbile hilo si andiko na mwongozo wa waislam hao ni kina luka na Theofilo ambao hata yesu hakumuona lkn nao ni mwanafunzi wake. Luka 1:1
Unaweza kuwandikia historia sahihi ya uhuru watoto wako ambapo wewe hukushuhudilia.
Historia haina maana yyt iwapo tutaamua kuiabudu.
Mjadala mkuu ni kutaka kutengeza historia ya watoto wetu
Na suala muhimu la kulijadili na pengine kulipigia kura ni je watoto wetu aruhusiwe kuoa au kuolewa huku zikiendelea kusoma au waendelee kufanya zinaa huku zikiendelea kusoma.
Bila shaka kura za maoni zitaakisi matenzo yetu tuliyoyashadidia na kutaka jamii yote iige.
Sisi wengine hatuko tayari kuoshi kwanza kwa kusomana na baadae kubariki ndoa. Si ktk mafundisho ya Elio au Allah
Mohamad alimuoa aisha akiwa na miaka 6 na akalala naye akiwa na miaka 9.
Ni mambo ya aibu, ila Huo ndio ukweli wa vitabu vyenu mlivyoandika wenyewe.
Usipingane na ukweli mliouandika wenyewe.
Uwepo wa sheria haufuti utendaji wa jinai bali unafungua uhalali wa hukumu.kwani mabinti wadogo wa TZ wapo salama? Hizo mimba zinazotemebea huko mitaani huzioni?
Ni imani ya kiumbavu kutetea ndoa za watoto wa miaka 6 kisa tu kuna mtu mmoja huko Saudi Arabia karne ya 7 alioa mtoto.kwanini munateseka na waislamu wakiowana?
Unaongea hadithi za kufikirika tu.Ndugu Amanitwin usiwe na jazba katika masuala usiyofahamu nakupa hoja hapa kulitetea hili na naomba pia waislamu wengine walifanyie utafiti watapata majibu sahihi INSHAALLAH
1:aisha kabla ya kuolewa na mtume alikuwa amechumbiwa na kijana wa familia ingine ambayo hyo familia haikuwa familia ya kiislamu na sababu ya kumkatalia kijana wao asimuoe aisha walisema "aisha alikuwa na misimamo mikali ya dini hivyo angemshawishi kijana wao abadili dini awe muislamu na wao hawakuwa tayari kijana wao awe muislamu" sasa nikuulize swali mtoto wa miaka 6 anapata vipi misimamo ya kuweza kumshawishi kijana kufata imani yake?? Baada ya hizi familia mbili kushindwana hilo suala la imani mtume kwa mara ya pili alipoenda kuulizia tena akaambiwa uchumba wa aisha na yule kijana umeshindwa kuendelea hivyo nafasi hyo ipo wazi,hii inaonesha kuwa binti hakuwa mtoto kwa kuwa hata jamii ya watu wengine walishaanza kupeleka maombi ya kumuoa
2:miaka 2 kabla ya kuolewa na mtume aisha alikuwa na dada yake aitwaye asma alikuwa akimsaidia masuala ya uzazi kipindi asma amejifungua mtoto na asma alikuwa na miaka kati ya 25 na 27 na alikuwa kamzidi mdogo mtu miaka 10(means aisha was 15 or 16)
3:aisha alikuwa mcheza mieleka mzuri tu na mara nyingi wakati akicheza mieleka na mtume ,aisha alimuangusha mtume mara nyingi mno kuliko mtume alivomuangusha aisha(mtoto wa miaka 6 anaweza kumuangusha mtu mzima katika mieleka??
4: pia inasemekana (japo hii sina uhakika nalo sana) kwamba zamani miaka mingi nyuma watu walikuwa wakihesabu umri wa binti baada tu ya binti husika kuvunja ungo,yaani kwa kifupi binti akikaa miaka 12 hajavunja ungo anahesabiwa ana miaka 0 akifikisha mwaka wa 13 akavunja ungo ndiyo anaanza kuhesabiwa kuwa na umri wa mwaka 1 lakin kiuhalisia anakuwa na miaka13( hili ninaendelea kulifanyia utafiti kwenye vitabu mbali mbali ) ndo maana ukichunguza vizuri katika biblia unagundua hata rebeka aliolewa na isack akiwa na miaka 3 (fatilia scholar wa biblia watakuambia) ila vile vile bikra maria pia aliolewa akiwa na kati ya miaka 14 na 16 hilo pia muulize mchungaji wako atakupa maandiko kama anaisoma biblia na kuielewa
Najaribu kutuma video clip hapa ikikubali uiskilize lakin pia next time nitakuja na reference kabisa kurejea niliyoyaandika.asante na karibu kwa hoja zaidi
Ponda hayuko sahii. Qur'an pia haiko sahihi na uislam pia hauko sahihi una lingine?Sheikh ponda karejea uislam kuhusu insu ya umri wa binti kuolewa si Saudi Arabia. nyie mnarejea sheria ya Saudi Arabia kum-attack Ponda..
Kwani yeye ponda hana ufahamu na sheria hiyo?.
Let say hajui ama anajua kuhusu sheria ya Saudi Arabia but what Saud Arabia adds up when it comes to Qur'an and Islam?.
Kwanini hoja zenu msizijenge kwa kutumia uislamu na si Saudi Arabia kama yeye alivyoeleza?.
Saudi Arabia haina nyongeza yoyote katika uislam na Qur'an.
Ponda ana hoja, msikilizeni.msitumie Saudi Arabia kama kichaka cha kukwepa madai yake no matter yupo sahihi ama lah.
Huyo mjinga hata Kama Ni marehem anatakiwa ashtakiwe kwa ubakaji mjinga mmoja yeyeYan katka watu ambao hawana akili pamoja na wewe we unadhan saudia ndo uislam. Din ya kiislam inasimama yenyewe kama yenyewe hakuna cha msaudia wala nan mtume amemuowa A'isha akiwa na umr wa miaka 7 na kuanza rasim kuishi nae kindoa akiwa miaka 9 peleka mbele uko upuuzi wako
Tutolee upumbavu wako hapa madhehebu yapo sana tu mfano Shia na sunnyUmeulizwa Saudia Arabia iko na wakristo au hakuna jibu hilo swali? Afu sheria za dini sio saudia Arabia. Kwenye Qur'an hakuna sehemu inatabanaisha umri wa mwanamke kuolewa. Binti anapovunja ungo tiyari ashakuwa mkubwa. Afu kuna mtoto kasema (Sunn) kwenye uislamu hakuna dhehebu.
Tatizo ufahamu wako mdogo unao sukumwa na chuki binafsi kila mtanzania anayo haki yake kupinga sheriya pindipo ataona inambana kwenye imani yake au mambo yake ni haki yake tena ya msingi,Yeye angepinga tu Hilo kutaka reference za dini yake zifuatwe Kwan serikal inaendeshwa na dini! Kwa hyo we ulitaka hyo ibadishwe kwa kuwa dini ya kiislam inataka hvyo?
Sema kidogo ubakishe ujui urafia wapi au mauti yatakukuta uko katika hali gani ingawa unajihesabia mwemaWakati Lile jiwe kuu jeusi lipo huko wanatoka dunia nzima kwenda kulizunguka na Waafrika hukanyagana makusudi wakiamini kuwa wakifia huko ni mbinguni Moja kwa Moja. Ndio huko huko kuitwako kibla ambako wakisali lazima waangalie huko, wakifa huzikwa uelekeo huo huo
Ndini ya hajabu ni hile inayo muabudu kiumbe yesuDini ya ajabu hii,?? Waanze na vitukiuu vyake maana naamini watoto na wajukuu walikwisha kuvuka miaka 9. Hapo anaongea kana kwamba vitoto vya kike ni vya watu wengine na haviwezi kutoka kwenye nyumba yake
Hivi Wana maslahi gani mtoto akiolewa na umri huo mdogo? Mijadala mingine ni ya kipuuzi sana....... yaani Binti akiolewa na miaka 14 nini faida Kwa Uislam?View attachment 2579272
Leo nimemsikia Sheikh Ponda akisema kuwa hakubaliana na Wizara ya Katiba na Sheria kupeleka muswada wa umri wa ndoa kuwa miaka 18. Anadai kuwa ni kinyume na dini ya Kiislamu kwa sababu miaka 18 ni sera ya Wakatoliki.
Kusema kweli kwa maneno haya nimeanza rasmi kumdharau Sheikh Ponda kwa sababu nchini Saudi Arabia, nchi ambayo ndo kitovu cha imani ya dini ya Kiislamu ulimwenguni umri wa ndoa ni miaka 18.
Sasa Sheikh Ponda sijui anasema Uislamu gani? Ifike kipindi sasa watu waache kutumia dini kuendekeza tabia zao za kipuuzi. Serikali iko sahihi kuweka umri wa ndoa kuwa miaka 18.
View attachment 2577735
Mkuu akiolewa na miaka 14 ndiyo mnapata swawabu? Vp ww binafsi unaweza kumuozesha binti yako ktk umri huo?Saudi Arabia si uislamu wala Qur'an. Ponda yupo sahihi kuhusu umri wa binti kuolewa kwa mujibu wa Dini ya kiislam ila hayupo sahihi katika dai la kuwa miaka 18 ni pendekezo la wakatoliki.
Hizi ndiyo oblongata zilizoliwa na mchwa kabisaAngejua umri alobeba mimba mama ake yesu,asingekurupuka humu.
Quran ipi, si ndio hiyo imetokea SaudiA?Je, quran inasemaje kuhusu Umri wa ndoa kwa mtoto wa kike?