The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kwa mtu anaekusudia kukiondoa madarakani chama kinachotawala huna budi kufanya homework yako vizuri ili uyaongelee mambo ya wananchi ambayo serikali iliyopo madarakani aidha iliyatelekeza au haijafanya vizuri.
Cha ajabu namuona huyu mheshimiwa amelipa uzito mkubwa sana suala la yeye kupigwa risasi, kufuta vitambulisho vya machinga, kuwatoa mashekh wa uamsho, kuzungumzia mambo ya korona akisisitiza mambo ya barakoa huku yeye mwenyewe akiwa hajavaa na kuwakusanya vijana kwa maelfu bila kuzingatia tahadhari yoyote nk kwa maoni yangu hizi hoja zitampuguzia kura.
Nashauri ajikite kutibumakovu yaliyoko kwenye mioyo ya watanzania walio wengi ambayo yamekua kero sugu na ccm haionyeshi Kama Ina iwezo wa kuyatibu Kama vile ukosefu wa ajira, maonezi na unyanyasaji wa Viongozi wa Serikali hasa wateule kwa watumishi wa umma, ukosefu wa soko la mazao ya kilimo, Serikali kushindwa kuwekeza kwenye sekta zinazoajiri watu wengi Kama vile kilimo, uvuvi, ufugaji na changamoto zilizoko kwenye sekta mbalimbali.
Cha ajabu namuona huyu mheshimiwa amelipa uzito mkubwa sana suala la yeye kupigwa risasi, kufuta vitambulisho vya machinga, kuwatoa mashekh wa uamsho, kuzungumzia mambo ya korona akisisitiza mambo ya barakoa huku yeye mwenyewe akiwa hajavaa na kuwakusanya vijana kwa maelfu bila kuzingatia tahadhari yoyote nk kwa maoni yangu hizi hoja zitampuguzia kura.
Nashauri ajikite kutibumakovu yaliyoko kwenye mioyo ya watanzania walio wengi ambayo yamekua kero sugu na ccm haionyeshi Kama Ina iwezo wa kuyatibu Kama vile ukosefu wa ajira, maonezi na unyanyasaji wa Viongozi wa Serikali hasa wateule kwa watumishi wa umma, ukosefu wa soko la mazao ya kilimo, Serikali kushindwa kuwekeza kwenye sekta zinazoajiri watu wengi Kama vile kilimo, uvuvi, ufugaji na changamoto zilizoko kwenye sekta mbalimbali.