Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I understand your theory and where you've picked it. Societies, yes bring about their own change, but don't forget politicians are part of the society.
Kwa mtu anaekusudia kukiondoa madarakani chama kinachotawala huna budi kufanya homework yako vizuri ili uyaongelee mambo ya wananchi ambayo serikali iliyopo madarakani aidha iliyatelekeza au haijafanya vizuri.
Cha ajabu namuona huyu mheshimiwa amelipa uzito mkubwa sana suala la yeye kupigwa risasi, kufuta vitambulisho vya machinga, kuwatoa mashekh wa uamsho, kuzungumzia mambo ya korona akisisitiza mambo ya barakoa huku yeye mwenyewe akiwa hajavaa na kuwakusanya vijana kwa maelfu bila kuzingatia tahadhari yoyote nk kwa maoni yangu hizi hoja zitampuguzia kura.
Nashauri ajikite kutibumakovu yaliyoko kwenye mioyo ya watanzania walio wengi ambayo yamekua kero sugu na ccm haionyeshi Kama Ina iwezo wa kuyatibu Kama vile ukosefu wa ajira, maonezi na unyanyasaji wa Viongozi wa Serikali hasa wateule kwa watumishi wa umma, ukosefu wa soko la mazao ya kilimo, Serikali kushindwa kuwekeza kwenye sekta zinazoajiri watu wengi Kama vile kilimo,uvuvi,ufugaji na changamoto zilizoko kwenye sekta mbalimbali.
Wanasiasa ni watu fulani wapuuzi sana...Kwa mtu anaekusudia kukiondoa madarakani chama kinachotawala huna budi kufanya homework yako vizuri ili uyaongelee mambo ya wananchi ambayo serikali iliyopo madarakani aidha iliyatelekeza au haijafanya vizuri.
Cha ajabu namuona huyu mheshimiwa amelipa uzito mkubwa sana suala la yeye kupigwa risasi, kufuta vitambulisho vya machinga, kuwatoa mashekh wa uamsho, kuzungumzia mambo ya korona akisisitiza mambo ya barakoa huku yeye mwenyewe akiwa hajavaa na kuwakusanya vijana kwa maelfu bila kuzingatia tahadhari yoyote nk kwa maoni yangu hizi hoja zitampuguzia kura.
Nashauri ajikite kutibumakovu yaliyoko kwenye mioyo ya watanzania walio wengi ambayo yamekua kero sugu na ccm haionyeshi Kama Ina iwezo wa kuyatibu Kama vile ukosefu wa ajira, maonezi na unyanyasaji wa Viongozi wa Serikali hasa wateule kwa watumishi wa umma, ukosefu wa soko la mazao ya kilimo, Serikali kushindwa kuwekeza kwenye sekta zinazoajiri watu wengi Kama vile kilimo,uvuvi,ufugaji na changamoto zilizoko kwenye sekta mbalimbali.
Hata mafarisayo walikua hawamwelewi kabisa Yesu Kristo... .... Ww farisayo la ccm Kamwe huwezi kumwelewa Lissu maana ww ni mlamba makalio wa lumumba ili upate cheaoKama unamuona ana akili nyingi basi wewe akili yako haina akili kabisa.
🖕Kwa mtu anaekusudia kukiondoa madarakani chama kinachotawala huna budi kufanya homework yako vizuri ili uyaongelee mambo ya wananchi ambayo serikali iliyopo madarakani aidha iliyatelekeza au haijafanya vizuri.
Cha ajabu namuona huyu mheshimiwa amelipa uzito mkubwa sana suala la yeye kupigwa risasi, kufuta vitambulisho vya machinga, kuwatoa mashekh wa uamsho, kuzungumzia mambo ya korona akisisitiza mambo ya barakoa huku yeye mwenyewe akiwa hajavaa na kuwakusanya vijana kwa maelfu bila kuzingatia tahadhari yoyote nk kwa maoni yangu hizi hoja zitampuguzia kura.
Nashauri ajikite kutibumakovu yaliyoko kwenye mioyo ya watanzania walio wengi ambayo yamekua kero sugu na ccm haionyeshi Kama Ina iwezo wa kuyatibu Kama vile ukosefu wa ajira, maonezi na unyanyasaji wa Viongozi wa Serikali hasa wateule kwa watumishi wa umma, ukosefu wa soko la mazao ya kilimo, Serikali kushindwa kuwekeza kwenye sekta zinazoajiri watu wengi Kama vile kilimo, uvuvi, ufugaji na changamoto zilizoko kwenye sekta mbalimbali.
Wewe ndiyo mburura kabisa yaani unamuona Lissu kama jembe lako ama kweli dunia haiishi vituko. Lissu hana ubora wowote ukilinganisha na wanasheria wengi makini. Kaangalie kesi zake zote kama wakili utaona kesi alizoshinda ni chache kuliko alozoshindwa.Hata mafarisayo walikua hawamwelewi kabisa Yesu Kristo... .... Ww farisayo la ccm Kamwe huwezi kumwelewa Lissu maana ww ni mlamba makalio wa lumumba ili upate cheao
You ass! Come back and vote for your ass-Tundu la Choo!!Tar 28/10/2020 ni TAL... That's ALL. We're tired of nonsense
Wewe ndiyo mburura kabisa yaani unamuona Lissu kama jembe lako ama kweli dunia haiishi vituko. Lissu hana ubora wowote ukilinganisha na wanasheria wengi makini. Kaangalie kesi zake zote kama wakili utaona kesi alizoshinda ni chache kuliko alozoshindwa.
Wewe ni nguchiro asiye na mkia, unataka na idadi nikuwekee katafuta mwenyewe.We nguchiro weka hapa idadi ya kesi alizoshinda na alizoshindwa ucwe zumbukuku
nimeyawaza yote hayo,Nilitaka kuandika kama ulichoandika .Umeona ameongelea jambo hilo kwenye Mkutano wa Nini?
Je Kampeni imeanza mpaka azungumze mambo hayo?
Unadhani wewe unamzidi Lisu akili mpaka ashindwe kujua jambo dogo kama hilo unalolizungumzia ambalo hata asiyesoma anaweza kulifahamu?