Uchaguzi 2020 Nimemsikiliza sana bwana Lissu nikaelewa yafuatayo

Kwani kampeni zimeanza?
 
Ulichoshindwa kung'amua wakati wa kampeni bado. Ngoja ziruhusiwe ndipo ataanza kuongea maswala mazito yanayoikabili nchi yetu na mustakabari wake.
Usidhani hajui anachokifanya.....
 
kwani kampeni zimeanza ndugu?

mwacheni mtu wa watu apitishe kwanza tingatinga kusawazisha barabara (shobo za MATAGA za miaka 5 mizima) kabla hajamwaga zege la lami (ilani & sera).

tulieni.
 
Bado kampeni hazijaanza mnaanza kumjaji Lissu? Hapo sasa amekuwa tu akitafuta udhamini mikoani na kuwajulisha wananchi yaliyomsibu kwa maneno yake mwenyewe na siyo vyombo vya habari. Sera ni za chama na mtazisikia kampeni zikianza.
 
Unfortunately, I am not prepared to cast my ballot.

I do not believe in politicians but I believe in social change
How would that social change come, by itself? Good politicians can assist in realizing social change, of course with the support from the citizens. Please take part in politics including participating in elections to avoid blaming politicians for whatever they are doing.
 

I blame no politician because their ability is limited as such.

Society is where politicians originate so the change of society change everything politicians included.

Society change can change politicians but politicians cannot change the society
 
I blame no politician because their ability is limited as such.

Society is where politicians originate so the change of society change everything politicians included.

Society change can change politicians but politicians cannot change the society
Politicians can change societies easier than societies can to politicians. Magu has in this short time pooled the Tanzania society to one of hypocrisy and disregard for human rights. It is obvious how Mwalimu Nyerere shaped Tanzanians living a life long effect which sharply segregates Kenyans from Tanzanians, it was only one person, Nyerere. Be careful with whom you take to the State's House, they have lasting impact on the nation's character and ideology.
 

I don't credit yourou idea as it is elementarily political as opposed to social change the view I am subscribed to.
 
Watanzania tutakwenda na Magufuli!! Pole Lisu Kwa makovu ya risasi. Tunakupa pole lakini urais tunampa Magufuli!
 

Yeye ndiye mgombea na anjua kwa nini ataje hayo mambo. Sasa kama yanapotajwa yana waumiza , basi vumilieni tu.
Hizo sababu ulizozitaja mwambie mgombea wako akazinadi.

Nashindwa kuelewa kwa nini massmhayataki kabisa kusikia Lissu akitajwa kushambuliwa kwake na serikali kushindwa kuwaeleza watanzania ni nani aliyehusika na hilo shambulizi.
 
I don't credit yourou idea as it is elementarily political as opposed to social change the view I am subscribed to.
I understand your theory and where you've picked it. Societies, yes bring about their own change, but don't forget politicians are part of the society.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…