Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi nabii amkaribishe mke wako nyumbani kwake ili mapambio yasonge mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unadhani ni wewe basi[emoji16] jitutumue tu lakini hata wewe umetumiwa tu kufukuza Nuru. Mizimu ya kwako na kwenu I mefanya hayo we Relux tu. Ukristo alileta Paulo. Ila yupo Yesu aliye hai iliyempa Neema mkeo nawe umeipiga teke. Wale watumishi wanajua kikwaxo ni wewe Yeye kumtukuza Mungu.
Hawatakuja ila hawata acha Roho hiyo ipotee wataomba walipo. Mungu atatengeneza njia pasipo na Njia. Vilivyo ndani yako Mizimu itapigwa huwezi Kuoa Mwili na Roho wanaume tunajisahau sana. Mbona utalainika tu we subiri.
Utawaita mwenyewe ama utaenda kanisani. Mwache mke aabudu wewe huwezi mzuia Mungu na ibirisi wako ndani yako.
Imani yako na ukristo wako ni wa Baba na ukoo wako umeridhi huko wala sio imani ya Mungu. Mkeo anaweza kuwa njia ya wewe kwenda mbinguni.
Eti mkristo, Kristo ni wa Upendo na hagawanyiki we unataka kumgawanya. Pia acha uzinzi
Kaa mbali na hao wachungaji ni hatari kwa maisha yako.Wasije mchukua katoto kangu
Kuna jamaa fulani wa kiroho (dhehebu kubwa) alikuwa anakwenda nyumbani kwa tajiri mmoja ili kutoa neno la Biblia kwa familia ya tajiri. Tajiri akisafiri ndio anahudhuria kwa wingi kwa mafundisho ya dini hapo nyumbani. Ikagunduliwa jamaa alikuwa anatembea na mke wake pamoja na Binti. Mama na mwanae hawajuani, ni zawadi tu zinatolewa na huyo mtumishi, kila mtu na wakati wake. Tajiri alipogundua alimwambia akimuona nyumbani atampiga risasi. Kweli alikoma ila hatujui kama mambo yanafanyika nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi ndio maana kuna masinagogi kwa ajili hiyoMughonile!
Nilimuoa Mke wangu miaka 9 iliyopita. Kwa sasa tunawatoto wawili.
Mke wangu alikuwa amebobea kwenye Makanisa haya ya upako.
Baada ya kukubaliana na vigezo vyangu, ambacho kimoja wapo nilimuarisha aachane na manabii wa upako, akakubali.
Ndipo nilipomuoa Kwa ndoa takatifu ya kikristo.
Ni miaka 9 sasa imepita, juzi Yule Nabii na waumini wengine walikuja kumtembelea Mke wangu. Tuliwapokea vizuri wakapiga Stori zao.
Tatizo wakataka waanze kuomba na kabla ya kuomba waimbe mapambio Yao. Kwa kweli niliwazuia, niliwaambia tuheshimiane. Kelele nyumbani kwangu ni mwiko na ndio maana ninaishi sehemu yenye makazi tulivu.
Tukazozana, nikawafukuza! Mke wangu ananiambia ninaroho ngumu,
Nikamjibu sio roho ngumu tuu Bali roho mbaya kabisa.
Nimewapiga marufuku kuja kwenye nyumba yangu kujifanya wanajifanya wanaombea ombea watu. Nani anashida na kuombewa hapa!
Nimewaambia wakija waje Kwa inshu nyingine.
Pumbavu!
Safi sana! Kuna jirani yangu mkewe kamaliza kuku wote kwenye banda sababu ya kupeleka kwa nabii wa kanisa la upako.Mughonile!
Nilimuoa Mke wangu miaka 9 iliyopita. Kwa sasa tunawatoto wawili.
Mke wangu alikuwa amebobea kwenye Makanisa haya ya upako.
Baada ya kukubaliana na vigezo vyangu, ambacho kimoja wapo nilimuarisha aachane na manabii wa upako, akakubali.
Ndipo nilipomuoa Kwa ndoa takatifu ya kikristo.
Ni miaka 9 sasa imepita, juzi Yule Nabii na waumini wengine walikuja kumtembelea Mke wangu. Tuliwapokea vizuri wakapiga Stori zao.
Tatizo wakataka waanze kuomba na kabla ya kuomba waimbe mapambio Yao. Kwa kweli niliwazuia, niliwaambia tuheshimiane. Kelele nyumbani kwangu ni mwiko na ndio maana ninaishi sehemu yenye makazi tulivu.
Tukazozana, nikawafukuza! Mke wangu ananiambia ninaroho ngumu,
Nikamjibu sio roho ngumu tuu Bali roho mbaya kabisa.
Nimewapiga marufuku kuja kwenye nyumba yangu kujifanya wanajifanya wanaombea ombea watu. Nani anashida na kuombewa hapa!
Nimewaambia wakija waje Kwa inshu nyingine.
Pumbavu!
Mungu anawapenda sana ndio maana kila siku anawaasa muokoke, hamtaki. amini usiamini, njia ya wokovu waipitao ni wachache, ila njia ya motoni wapo wengi sana. Mungu akusaidie ufunguke macho pengine utapona.NI UONGO WA KUTUPWA NA UKOSEFU WA UPEO WAKO TU
hao wengine ambao hawana TV au wana Dini Nyingine wasiomjua ULOKOLE mbona wanaishi vizuri tu,
Na walokole kibao km Mama Rwakatare na pesa zake na kumlilia Yesu mbona aliondoka na kazikwa na Jiji
acheni kuwadanganya wenzenu km umemjua Mungu kaa naye kama ni Yesu kaa naye msije kututisha
ingia Jukwa la Dini ukutane na wanaochambua uwepo wa Mungu, Dunia ina zaidi ya watu Bilioni 8 wakristo hawazidi Bilioni 2 walokole ni milioni 700
sasa ina maana Mungu hawapendi waliobaki Bilioni 6
FUKUZA NABII YOYOTE atakayeingia nyumbani kwako NI WEZI TU wanakuambia toa SADAKA inayouma
Devil worshippersCatholic church hawana kelele.
Umemaliza kila kitu mkuu ahsante sanaila kuna siku huwa mnakamatika mmetandikwa na shetani hadi mnajisaidia vitandani hapohapo, na mnawatuma wake zenu wakawaite wachungaji wawaombee walau kwasababu wanganga wa kienyeji, madaktari, na mapadre wameshindwa kuwasaidia. omba Mungu yasikukute. wokovu ni lazima, ukiwa unasali kanisa linakataza kuokoka au haliamini kuokoka sawasawa na walivyokuwa wanaamini mitume wa kwanza, hiyo ni dini tu, kimbia. na catholic ni mojawapo. huwa hatuwasemi kwasababu tunawachukia, Nooo, tunajaribu kuwasaidia mtoke upofu kwasababu mnapoteza muda na wengine mnajua kabisa kuwa mnapoteza muda, ila wengine hawajui hadi tuwapigie kelele pengine watasikia waokoke. hata kipindi Yesu alikuwepo aliwapigia sana kelele mafarisayo na masadukayo ambao walikuwa wameanzisha na kuendeleza vingi ambavyo catholics mlikuja kuvikuta, lakini Yesu aliwapigia kelele wabadilike.
pia, catholics mmeanzisha nini ambacho sisi wengine tunatumia? Biblia? hii iliandikwa na Roho Mtakatifu, na ukisema kanisa, kanisa halijaanzishwa na catholics, kama unaamini hivyo mnadanganywa. kanisa la kwanza la akina Paulo, Petro, Yohana n.k halikuwa hili la catholics. why?
1. kanisa la kwanza waliamini kuokoka, catholics hawaamini kuokoka.
2. kanisa la kwanza hawakuwa wanakunywa pombe, catholics ni walevi.
3. kanisa la kwanza waliamini ujazo wa Roho na kunena kwa lugha, catholics wanapinga hilo na hawana Roho.
4. kanisa la kwanza waliombea na kuponya wagonjwa kama huduma ya Yesu, catholics hawawezi kuponya hata unywele tu.
5. kanisa la kwanza hawakuwa wanamwabudu bikira maria, catholics wanaabudu na kuomba kwa bikira maria.
6. kanisa la kwanza hawaombi kwa wafu, waliomba kupitia Jina la Yesu tu, catholics wanaomba kupitia wafu.
7. kanisa la kwanza hawakuabudu masanamu, catholics wanaabudu masanamu ya yesu wa kwenye sinema hadi leo hii.
kuna mengi mno, ambayo yanawafanya dini yenu iwe ya kipagani kabisa lakini hata tuwaambie huwa hamuelewi.
Unaumwa wewe,
Huyu ni Mke wangu, mimi ndiye Nabii wake,
Bro heshima yakoHuwezi jiombea mwenyewe?
Mungu wako hajibu majibu yako mpaka uombewe na mwengine?
#YNWA
Mughonile!
Nilimuoa Mke wangu miaka 9 iliyopita. Kwa sasa tunawatoto wawili.
Mke wangu alikuwa amebobea kwenye Makanisa haya ya upako.
Baada ya kukubaliana na vigezo vyangu, ambacho kimoja wapo nilimuarisha aachane na manabii wa upako, akakubali.
Ndipo nilipomuoa Kwa ndoa takatifu ya kikristo.
Ni miaka 9 sasa imepita, juzi Yule Nabii na waumini wengine walikuja kumtembelea Mke wangu. Tuliwapokea vizuri wakapiga Stori zao.
Tatizo wakataka waanze kuomba na kabla ya kuomba waimbe mapambio Yao. Kwa kweli niliwazuia, niliwaambia tuheshimiane. Kelele nyumbani kwangu ni mwiko na ndio maana ninaishi sehemu yenye makazi tulivu.
Tukazozana, nikawafukuza! Mke wangu ananiambia ninaroho ngumu,
Nikamjibu sio roho ngumu tuu Bali roho mbaya kabisa.
Nimewapiga marufuku kuja kwenye nyumba yangu kujifanya wanajifanya wanaombea ombea watu. Nani anashida na kuombewa hapa!
Nimewaambia wakija waje Kwa inshu nyingine.
Pumbavu!