Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Mkuu demu wa kawaida ndo yukoje na ambaye siyo wa kwaida yukoje.

Naomba ufananuzi plz
 
[emoji16][emoji16][emoji16] au sio !? Asije akaitoa hiyo hela ikaliwa halafu usiku akiwa amelala aote anakabwa na jina mizi , kwaajili ya maumivu yanayo sababishwa na kuliwa kwa pesa hizo,, wewe mjaze tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jinamizi la maumivu, lakini starehe atakuwa kapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tendo la ndoa sasa wamefanya ni biashara ila bado wanaona aibu kutamka wanauza. Muulize tu short time bei gani na kulala bei gani na kawaida na kwa mpalange bei gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wiki iliyopita nilichukua namba, usiku mida ya saa mbili nikamtumia text vipi tunaweza kuonana saizi? Akanijibu wapi nikamwambia itapendeza ukija home. Akasema pouwa utanipa tsh ngapi? Nikasema mhh leo ndo nimekutana na muuza Maku, then nikamwambia nina ten hapa akajibu hiyo labda kwa show fupi. Nilivyosikia hivyo mwili wote uliloa jasho nikaghairi mazima.
 
Umenikimbusha mbali,nilimfanyia hivi manzi mmoja
 
ILA WANAUME TUNA SHIDA SANA.
 
You must be stacking high man. You always talk about wasting alota cash that business gots to be big!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah Yani wanaume mna tabu jamani looh na hao madem wote unakuta unawatamani Basi hapo akili haielewi ishike yupi iache yupi
 
Kwani wewe humpendi,mpe hela,vile vitu vinauzwa hakunae utelezi wa bure
 
Ikiwa ana namba ya voda na anadaiwa songesha mchezo umeungua maana Dem akikatwa tu ata shing 100 iyoela airudi .. laki 5 ninyingi Sana .. ampotezee tu
 
Hahahaha dp umetisha
 
Ananunua nguo za buku anaomba laki tano! Maajabu.....angeomba 50 tu,labda tusingekuwa hapa kujadili😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…