kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Usimpe...kwanza huyo ninmwanamke useless tayari single maza achana nae. 2025 onwards we dnt date broke galsWakuu
Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.
Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.
Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
Win win situationMpe, wewe umemtongoza siku ya kwanza, yeye kangoja siku 3; shida Iko wapi?
Hii nchi ina watu wa ovyo sana! Kwahiyo unakuja hapa tukushauri jinsi ya kufanya ngono?Wakuu
Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.
Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.
Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
Kweli kabisa! Hela huna kwanini unangononeka?Kama hamna pesa mnahangaika kutongoza wanawake wa kazi gani?
Kihela hicho ni cha kulia kweli mkuu?
Win win situation
Kinapimwa kiberiti kama kimejaa au laa!Wakuu
Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.
Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.
Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
Siku nyingine uwe unakuja kuomba ruhusa ya kuwatongoza.Wakuu
Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.
Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.
Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.