Nimemtongoza juzi Jumamosi, leo kaanza kuniomba pesa

Nimemtongoza juzi Jumamosi, leo kaanza kuniomba pesa

Mpe, wewe umemtongoza siku ya kwanza, yeye kangoja siku 3; shida Iko wapi? Wakati mwingine mnawalaumu au wanawake Kwa sababu you are not Men enough!

Wewe unafikiri ni Nini mwanamke aliyekuona siku Moja ukamtongoza anavutiwa nacho na wewe? Zaidi ya pesa? Kama ulikuwa unatafuta mwanamke sound, ungemzoea, akawa rafiki then umtongoze!

Wewe kumtongoza kwa nia ya kulala naye is as selfish as yeye kukuomba pesa, it goes hand in hand, wewe unautaka Mwili wake na hakupendi, kwa nini asiombe hela?

Kwa nini wewe uone Hana maadili kwa kuomba hela, na kufikiri Wewe una maadili kwa kumwambia unampenda hiyo hiyo uliyomwona; muwe mna tumia akili baada ya kiwatweza hawa Dada zetu!

Kama huna hela mwache mtoto wa watu, Nenda katongoze ndugu zako au watu uliowazoea wanaokupenda natural, pumbavu Kabisa, vijana wa hovyo binti!
Mkuu, hapo hujamsaidia mwenzetu. Hawa wanaume wa siku hizi wanahitaji elimu la sivyo kukatana mapanga na kulia hakuishi.
 
Mpe, wewe umemtongoza siku ya kwanza, yeye kangoja siku 3; shida Iko wapi? Wakati mwingine mnawalaumu au wanawake Kwa sababu you are not Men enough!

Wewe unafikiri ni Nini mwanamke aliyekuona siku Moja ukamtongoza anavutiwa nacho na wewe? Zaidi ya pesa? Kama ulikuwa unatafuta mwanamke sound, ungemzoea, akawa rafiki then umtongoze!

Wewe kumtongoza kwa nia ya kulala naye is as selfish as yeye kukuomba pesa, it goes hand in hand, wewe unautaka Mwili wake na hakupendi, kwa nini asiombe hela?

Kwa nini wewe uone Hana maadili kwa kuomba hela, na kufikiri Wewe una maadili kwa kumwambia unampenda hiyo hiyo uliyomwona; muwe mna tumia akili baada ya kiwatweza hawa Dada zetu!

Kama huna hela mwache mtoto wa watu, Nenda katongoze ndugu zako au watu uliowazoea wanaokupenda natural, pumbavu Kabisa, vijana wa hovyo binti!
We jamaa povu limekutoka Kweli Kweli 😂
 
Wakuu

Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.

Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.

Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
Bora ww mm hata sijatongoza, nilimuomba namba tu ananiita wangu,ananimba pesa ya chupi dozen 24K😂😂😂
 
Wakuu

Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.

Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.

Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
Yaani tangu jumamosi hadi leo jumanne ndio anakuomba pesa?

Huyu mtu ni mstaarabu sana, wengi huwa wanaomba siku hiyohiyo.
 
Vipi kama
Mwanaume kuwa provider ni suala la kihistoria na tamaduni tofauti tofauti hata kidini pia.

Lakini nyakati zimebadilika rafiki yangu.

Kwa sasa jukumu hilo linapaswa kuwa la kushirikiana kulingana na uwezo wa kila mmoja.

Sio pesa tu ndiyo humfanya mwanaume kuwa provider, bali pia kuna kumuongoza mwanamke ili awe salama kihisia, kiakili na Kiafya [Hii nayo ni providing].

Mahusiano huwa mazuri ikiwa yatajengwa katika maono ya pamoja.

Uhusiano huwa mzuri ikiwa wote mna ushirikiano katika majukumu na si kwasababu ya shinikizo la kitamaduni au kidini pekee.

Wote mnapaswa kuwajibika huku mkilikimbizia lengo lenu kuu pamoja.

CC: Qashy Lilith
Vipi kama mkishirikiana kutafuta baadae hizo mali akaenda kula na mwingine huogopi?

Kwanini mwanamke asitafute huku na.mwanaume huko baadae waje kula pamoja ila kwa sharti la mwanaume kuendelea kuprovide Hela Kwa kipindi hicho?
 
Mpe, wewe umemtongoza siku ya kwanza, yeye kangoja siku 3; shida Iko wapi? Wakati mwingine mnawalaumu au wanawake Kwa sababu you are not Men enough!

Wewe unafikiri ni Nini mwanamke aliyekuona siku Moja ukamtongoza anavutiwa nacho na wewe? Zaidi ya pesa? Kama ulikuwa unatafuta mwanamke sound, ungemzoea, akawa rafiki then umtongoze!

Wewe kumtongoza kwa nia ya kulala naye is as selfish as yeye kukuomba pesa, it goes hand in hand, wewe unautaka Mwili wake na hakupendi, kwa nini asiombe hela?

Kwa nini wewe uone Hana maadili kwa kuomba hela, na kufikiri Wewe una maadili kwa kumwambia unampenda hiyo hiyo uliyomwona; muwe mna tumia akili baada ya kiwatweza hawa Dada zetu!

Kama huna hela mwache mtoto wa watu, Nenda katongoze ndugu zako au watu uliowazoea wanaokupenda natural, pumbavu Kabisa, vijana wa hovyo binti!
Umeongea ukweli kabisa kamanda. Nilichokielewa hapa ni kwamba huu ni muamala uliojificha katika neno "nakupenda"
 
Wakuu

Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.

Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.

Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
We ulivomtongoza ulimwambiaje kwani? unampenda ama unatamani kumfahamu zaidi?
 
Piga chini.

Mindset ya wanawake wasasa ni kwamba ukichukua no yake unamtaka kingono tu.

Wanafikiri uko kuwataka kwao utafanya chochote kile hasa kuwapa pesa ili wakuvulie.

Be a Man - Wewe acha kujibu Txhahqt zake kabisa wala kumtafuta, Usi-mblock atajua ulikua tapeli, Akipiga pokea mwambie niko bussy ntakucheki.

Usimcheki, Akikucheki mchane ukweli, Let her go!!
😂
 
Hapo ni full kuviziana. Wewe unataka kula tamu kwanza ndio utoe hela, huku yeye anataka hela kwanza ndio atoe utamu
 
Vipi kama

Vipi kama mkishirikiana kutafuta baadae hizo mali akaenda kula na mwingine huogopi?

Kwanini mwanamke asitafute huku na.mwanaume huko baadae waje kula pamoja ila kwa sharti la mwanaume kuendelea kuprovide Hela Kwa kipindi hicho?
Ni muhimu kila mmoja kuwa na uhuru wa kutafuta na kujiendeleza kimaisha.

Lakini kama wanandoa ni muhimu pia kuwa na makubaliano ya wazi na ya haki kuhusu majukumu ya kifedha.

Kama tutashirikiana kwa dhati, kila mmoja anapaswa kuchangia, na mwanaume pia ntapaswa kuwa na jukumu la kuendelea kuwa msaada mkubwa zaidi wakati wote.

Lengo ni kujenga ustawi wa pamoja, siyo kwa kuhatarisha usawa na uaminifu wa ndoa kama unavyosema.

Labda ungezungumzia akidai Talaka ili tugawane mali sababu ya tamaa, lakini sasa Ukishamtolea binti mahari na ukaishi naye zaidi ya miezi mi3 kisheria ni mkeo na anakua ni part ya mali alizokukuta nazo, Huna pa kukimbilia.

Wewe una maoni gani kuhusu hili?
 
Ni muhimu kila mmoja kuwa na uhuru wa kutafuta na kujiendeleza kimaisha.

Lakini kama wanandoa ni muhimu pia kuwa na makubaliano ya wazi na ya haki kuhusu majukumu ya kifedha.

Kama tutashirikiana kwa dhati, kila mmoja anapaswa kuchangia, na mwanaume pia ntapaswa kuwa na jukumu la kuendelea kuwa msaada mkubwa zaidi wakati wote.

Lengo ni kujenga ustawi wa pamoja, siyo kwa kuhatarisha usawa na uaminifu wa ndoa kama unavyosema.

Labda ungezungumzia akidai Talaka ili tugawane mali sababu ya tamaa, lakini sasa Ukishamtolea binti mahari na ukaishi naye zaidi ya miezi mi3 kisheria ni mkeo na anakua ni part ya mali alizokukuta nazo, Huna pa kukimbilia.

Wewe una maoni gani kuhusu hili?
Kwa maono yangu nakataa kutafuta nae pamoja ..
Naenda kwa ambae ameshajipata na tunafunga ndoa
That the best solution
 
Miaka kadhaa nyuma katika pita pita za social media nilikutana na binti mmoja ambae nilisoma nae Primary, takriban miaka 25 iliyopita.

Nikawasiliana nae na kama ilivyo ada tukabadilishana namba (hata hakuwa ananikumbuka zaidi ya kuamini maneno yangu tu baada ya kumtajia shule na darasa).

Katika maongezi kabla hata ya kukutana, ghafla akapatwa na 'shida', 'mzigo' wake ulikwama bandarini na kuwa alihitaji Mil. 1 ya haraka.

Kwanza nilimwambia subiri nitakucheki, ila ikawa kama deni. Nikaona kwanini najitesa kwa mtu ambae hata hanijui. Nilimchana live tu kuwa sio kwamba sina hiyo pesa lakini siwezi kukupa sababu kwanza ulikuwa hata hunijui hata baada ya kukumbusha, kama isingekuwa unawasiliana na mimi ungeomba kwa nani hiyo pesa, sio kila anaekuomba namba ana nia ya kukutongoza kimapenzi na mwisho kabisa sio kila mwanaume utakaempata ni ukombozi wa ufukara wako.

Japo ilikuwa ni kwenye simu, lakini sauti yake ilisikika kabisa kuwa alifedheheka. Na baada ya hapo sikupokea tena simu zake japo alijaribu sana kunipigia.
Kuna wakati ni bora kuwachana ukweli tu hawa viumbe.
Yaan anaomb million moja kuptia cmu duuh
 
Back
Top Bottom