Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Kama uko below 25 dating for fun it's okay - Have fun.Sasa kwani huwa tunataka nini mkuu? Ni ngono, hayo mengine huwa yanakuja baadae. Kama kuna jambo rasmi lisilohusiana na ngono huwa linazungumzwa kwanza ndo namba zinafata
Amuulize tu, hiyo elfu hamsini watafanya mara ngapi? Mtu anauza wewe unataka mapenzi.
Ila kama uko Over 25, Play time is over. Ni muda wa kutafuta mke wa Maisha.