Nimemtongoza juzi Jumamosi, leo kaanza kuniomba pesa

Nimemtongoza juzi Jumamosi, leo kaanza kuniomba pesa

Maneno hayo ni ya kueneza mitazamo hasi kuhusu wanawake.

Lakini ni disrespect kusema kila mwanamke hufikiria ngono pale ukimuomba namba.

Kila mtu, mwanamke au mwanaume, anapaswa kuheshimiwa na kuchukuliwa kama mtu binafsi, bila kujengwa dhana potofu.

Ndoa za kudumu zinahitaji heshima, upendo, na ushirikiano, siyo mtindo wa maisha fulani kama vile Umalaya .
Kila mwanamke ukimuomba namba bila kuweka wazi jambo rasmi kwanini unahitaji namba ngono lazima ije kichwani kwake.

Nikuulize, katika washkaji zako, kuna hata mmoja ulikutana naye barabarani humjui ukamsimamisha ukamuomba namba ili muwe washkaji?
 
Eeh
Wakuu

Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.

Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.

Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
Uwa nakupenda picha ikianza iv maan jambaz anatisha kweliiiii pole kaka
 
Piga chini.

Mindset ya wanawake wasasa ni kwamba ukichukua no yake unamtaka kingono tu.

Wanafikiri uko kuwataka kwao utafanya chochote kile hasa kuwapa pesa ili wakuvulie.

Be a Man - Wewe acha kujibu Txt zake kabisa wala kumtafuta, Usi-mblock atajua ulikua tapeli, Akipiga pokea mwambie niko bussy ntakucheki.

Usimcheki, Akikucheki mchane ukweli, Let her go!!
We ukiomba number unapenda mfanye biashara😂?
 
Tumia hii mbinu ili usije ukapata hasara.
Jifanye hiyo hela unayo cash afu unaona uvivu kwenda kwa wakala kumtumia.mwambie aje achukue mwenyewe, kwa tabia za wanawake walivyo waroho wa pesa atajaa kingi atakuja ghetto,akifika ghetto we mpige pumb.u kisha mpe elfu 30 mwambie ndo uliyonayo afu mpotezee.
Huyo single maza wako anaonekana njaa kali sana.
Fuata huu ushauri... Kitaalamu unaitwa BTTS
 
Nakubaliana na wewe lkn huenda kungekuwa na maisha baada ya kumwambia ukweli,huenda mngekuwa na urafiki wenye afya kwakuwa kuna kitu ulimfundisha
Nafsi ya mwanadamu imeumbwa na kisasi , kitendo cha kumfedhehesha kisingeweza fanya tuwe sawa na kuna sehemu ya chuki ingebaki ndani yake ambayo baadae ingeweza leta athari. Pia nilishamdharau hivyo nahisi nisingeweza mpa heshima anayostahiki baada ya hapo.
 
Wakuu

Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi.

Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali.
Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k.

Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza kuomba pesa.
Wakuu nipeni mawazo yenu kwenye hili jambo.
jiongeze mkuu, nenda kale mzigo
 
We ukiomba number unapenda mfanye biashara😂?
Hapana.

Binafsi sio mdau wa kununua ngono, Ninapenda kuwa kwenye mahusiano yaliyojikita zaidi kwenye Uadilifu na Kuheshimiana.

Niko Obssesed sana na Growth katika nyanja zote hivyo siingii kwenye mahusiano yeyote ambayo hayatupeleki sisi wawili katika Ukuaji kifamilia, kiuchumi, kiafya na Kijamii.
 
Mkuu, ukitaka mke chukua mwanamke ambaye mlifahamiana katika mambo mengine. Hii ya dada samahani naomba namba ni too risky.

Yaani lile swali la ilikuaje akawa mkeo jibu liwe ni huyu ni mtoto wa mzee fulani tumekua nae au namfahamu kupitia kazi tulizofanya pamoja miaka 5 kabla ya kuwa wapenzi, au tupo mtaa mmoja tumefahamiana miaka 4 kabla ya uchumba. N.k
Sawa mkuu!!

Fanya hivyo sababu binafsi nimeshaoa tayari.
 
Hapana.

Binafsi sio mdau wa kununua ngono, Ninapenda kuwa kwenye mahusiano yaliyojikita zaidi kwenye Uadilifu na Kuheshimiana.

Niko Obssesed sana na Growth katika nyanja zote hivyo siingii kwenye mahusiano yeyote ambayo hayatupeleki sisi wawili katika Ukuaji kifamilia, kiuchumi, kiafya na Kijamii.
Unazungumziaje swala la A man Kuwa provider?
 
Unazungumziaje swala la A man Kuwa provider?
Mwanaume kuwa provider ni suala la kihistoria na tamaduni tofauti tofauti hata kidini pia.

Lakini nyakati zimebadilika rafiki yangu.

Kwa sasa jukumu hilo linapaswa kuwa la kushirikiana kulingana na uwezo wa kila mmoja.

Sio pesa tu ndiyo humfanya mwanaume kuwa provider, bali pia kuna kumuongoza mwanamke ili awe salama kihisia, kiakili na Kiafya [Hii nayo ni providing].

Mahusiano huwa mazuri ikiwa yatajengwa katika maono ya pamoja.

Uhusiano huwa mzuri ikiwa wote mna ushirikiano katika majukumu na si kwasababu ya shinikizo la kitamaduni au kidini pekee.

Wote mnapaswa kuwajibika huku mkilikimbizia lengo lenu kuu pamoja.

CC: Qashy Lilith
 
Back
Top Bottom