Nimemtongoza mke wangu kwa akaunti fake TikTok kanikubali, tena yupo tayari kuolewa

ACHA USHAMBA.
Mapenzi ya kutumia ID Fake kama vile namba ya simu fake au account fake ili umtest mkeo kwa kumtongoza ni mapenzi ya Kishamba sana, Utoto na Ulimbukeni.

Kama unaamini anakupenda Amini hivyohivyo, hakuna haja ya kuanza kutumia ID fake kumtest, ni upumbavu kabisa huo.
 
Mtafutie mtu amuoe
 
Wake zenu huwa hawakatai, ukiona amekataa ujue tu sio saizi yako.... uzoefu unaonesha hivyo.
 
Hukutunza risiti tuone mwamba alivyojimwambafai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio mke wako tu hata wewe ukipata mwanamke serious kuna uwezakano ukamuacha mkeo.
 
Hadi hapo ushagundua vitu anavyokosa mkeo kwako, inakubidi ujirekebishe.!!
Chonde chonde usije kuomba mambo meusi akakubalia utalia na kumchukia..!!

Ila nimecheka ulivyosema kakubali kuolewa 🀣🀣🀣
Ila wanawake tuna ujinga mwingi, yani kaolewa na bado anakudanganya kuhusu ndoa?!! Kingine mkeo anataka kukuchezea na kukupotezea muda kwa kujua ww sio mume wake..!
 
Kwa kweli hata Mimi nimewahi tongoza Mke wangu akawa tayari kuja kuliwa ,nilishangaa sana 🀣🀣🀣🀣.

Fundisho.Usiwekeza Nguvu Wala kujaza akili yako Kwa mwanamke ,hao ni chawaote πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…