Nimemtongoza mpangaji mwenzangu kanikataa halafu ananipigia taarabu

Wapumbavu wamekutana.
 
Unashindana na Ulipotokea Mkuu. Unachekesha. Dawa ya Mwanamke ni Mwanamke Mwenzake!! ThreadClosed.
 
hahaha dah umefukua kaburi?
 
Yaani we bwege kweli unatongozaje kipumbavu hao hua ukitoka unamlete kijizawad amazing mara moja unampa day worker akusafishie chumba unampa buku 10 kama huna time nae ukirudi zawad kwa style hiyo unajikuta unakula bila kutongoza bwege wewe
 
Yaani we bwege kweli unatongozaje kipumbavu hao hua ukitoka unamlete kijizawad amazing mara moja unampa day worker akusafishie chumba unampa buku 10 kama huna time nae ukirudi zawad kwa style hiyo unajikuta unakula bila kutongoza bwege wewe
Tulia wewee formula zote nazijua. Hapa anaishi na kajamaa kake ni kadereva ka daladala kamekonda balaa yani hapa natafuta vita nikatie mabanzi kajamaa kake
 
Tafuta hela kenge wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…