Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Unatafuta mume??Wewe ni “ke“ au “me“?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatafuta mume??Wewe ni “ke“ au “me“?
wewe ndio umekosea maana hizo taarabu anazokupigia maana kakukubali ni juu yako kuongeza bidii ya kumtaka sio kumpigia vijembeToka jana anapiga taarabu za vijembe na kujisifu wanavyopendana ka bwana kake na mimi nikaona isiwe kesi, nikadownload ngoma moja ya jamaa wa Kenya anaitwa alvindo nimbo inaitwa Taka Taka.
Inasema... Unakataa kuwa demu yangu naenda kwa mrogi nakuroga unakufa... Na nakuja kwa mazishi yako kukula na kukunywa nikucheke ukizikwa... Unaringa unaringa nini.. Na sura mbaya hata kuliko mbuzi... Roho chafu kama ya shetani... Unazaniaga we ni nani!!... Taka taka.. Taka taka.. Mapepo zinakufata.. Hata sijui ni nini niliona kwako.. Ningejua ningempatia dadaako.
Halafu sauti ya juu, hadi muda huu nagonga hii ngoma mpaka kaona azime kiredio chake askilizie mapigo. Ahami mtu hapa fita fita mura.
Hahahaha usinikumbusheToka jana anapiga taarabu za vijembe na kujisifu wanavyopendana ka bwana kake na mimi nikaona isiwe kesi, nikadownload ngoma moja ya jamaa wa Kenya anaitwa alvindo nimbo inaitwa Taka Taka.
Inasema... Unakataa kuwa demu yangu naenda kwa mrogi nakuroga unakufa... Na nakuja kwa mazishi yako kukula na kukunywa nikucheke ukizikwa... Unaringa unaringa nini.. Na sura mbaya hata kuliko mbuzi... Roho chafu kama ya shetani... Unazaniaga we ni nani!!... Taka taka.. Taka taka.. Mapepo zinakufata.. Hata sijui ni nini niliona kwako.. Ningejua ningempatia dadaako.
Halafu sauti ya juu, hadi muda huu nagonga hii ngoma mpaka kaona azime kiredio chake askilizie mapigo. Ahami mtu hapa fita fita mura.
Wewe siyo mwanaume. Wanaume hatunaga mipasho we lete demu ndani mzr zaidi yake uoneToka jana anapiga taarabu za vijembe na kujisifu wanavyopendana ka bwana kake na mimi nikaona isiwe kesi, nikadownload ngoma moja ya jamaa wa Kenya anaitwa alvindo nimbo inaitwa Taka Taka.
Inasema... Unakataa kuwa demu yangu naenda kwa mrogi nakuroga unakufa... Na nakuja kwa mazishi yako kukula na kukunywa nikucheke ukizikwa... Unaringa unaringa nini.. Na sura mbaya hata kuliko mbuzi... Roho chafu kama ya shetani... Unazaniaga we ni nani!!... Taka taka.. Taka taka.. Mapepo zinakufata.. Hata sijui ni nini niliona kwako.. Ningejua ningempatia dadaako.
Halafu sauti ya juu, hadi muda huu nagonga hii ngoma mpaka kaona azime kiredio chake askilizie mapigo. Ahami mtu hapa fita fita mura.
Luca,Choice,chiembe na wafurukutwa wa Menyekiti mamluki wakukodi/kodishwa kutoka mboga mboga.Hiyo kazi wamepewa kina Chiembe.
Hao Ni Kuku Wa Kienyeji Wanakuwaga Watamu Balaa Uswahilini Kuna Pisi MnooAiseeh, naona bumper to bumper,
Unatongozaje mwanamke anasikiliza taarabu, au ndio ndege wafananao huruka pamoja
Wewe ni dhaifu sana
Sio wenge ila angalia ulivyo na wivu huwezi kujitongozea tu warembo huko mtaani unakaonea wivu ka dereva ningekuwa mimi ningekushikisha adabuMbona una wenge man?
[emoji38]Toka jana anapiga taarabu za vijembe na kujisifu wanavyopendana ka bwana kake na mimi nikaona isiwe kesi, nikadownload ngoma moja ya jamaa wa Kenya anaitwa alvindo nimbo inaitwa Taka Taka.
Inasema... Unakataa kuwa demu yangu naenda kwa mrogi nakuroga unakufa... Na nakuja kwa mazishi yako kukula na kukunywa nikucheke ukizikwa... Unaringa unaringa nini.. Na sura mbaya hata kuliko mbuzi... Roho chafu kama ya shetani... Unazaniaga we ni nani!!... Taka taka.. Taka taka.. Mapepo zinakufata.. Hata sijui ni nini niliona kwako.. Ningejua ningempatia dadaako.
Halafu sauti ya juu, hadi muda huu nagonga hii ngoma mpaka kaona azime kiredio chake askilizie mapigo. Ahami mtu hapa fita fita mura.
Kwahiyo unatamani ungekuwa huyo dada sio?Sio wenge ila angalia ulivyo na wivu huwezi kujitongozea tu warembo huko mtaani unakaonea wivu ka dereva ningekuwa mimi ningekushikisha adabu
Nini mzee kilikukutaaaHahahaha usinikumbushe
Mbona wahindi hawajengi wanapanga maisha yao yote na wana hela na kuajiri watu juu. Yo kanjibaahiDogo kujenga hujajenga Nyege na vijembe kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio vya Nini ?
Siwezi kumtangaza labda anitangaze yeye kwamba yule jamaa ukimpa anakula anakomba chakula chote na kulamba sahani juuAlishaona akikukubalia tu utamtangaza uvunje mahusioano yake,.
Kwa akili hizi alifanya sahihi kukukataa