Nimemtongoza mpangaji mwenzangu kanikataa halafu ananipigia taarabu

wewe ndio umekosea maana hizo taarabu anazokupigia maana kakukubali ni juu yako kuongeza bidii ya kumtaka sio kumpigia vijembe
 
Hahahaha usinikumbushe
 
Kumbuka kumalizia na ile ya utatoa hutoi.
 
Wewe siyo mwanaume. Wanaume hatunaga mipasho we lete demu ndani mzr zaidi yake uone
 
H
Aiseeh, naona bumper to bumper,
Unatongozaje mwanamke anasikiliza taarabu, au ndio ndege wafananao huruka pamoja
Wewe ni dhaifu sana
Hao Ni Kuku Wa Kienyeji Wanakuwaga Watamu Balaa Uswahilini Kuna Pisi Mnoo
 
[emoji38]
 
Alishaona akikukubalia tu utamtangaza uvunje mahusioano yake,.
Kwa akili hizi alifanya sahihi kukukataa
Siwezi kumtangaza labda anitangaze yeye kwamba yule jamaa ukimpa anakula anakomba chakula chote na kulamba sahani juu
 
Jirani huwa atongozwi. Huwa anaombwa. Akikataa; basi. Akikubali fresh.

Mkitongozana ipo siku mtakaa chumba kimoja halafu faza'house atakosa kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…