Nimemuacha mke wangu niliezaa nae watoto wawili

Nimemuacha mke wangu niliezaa nae watoto wawili

Je ulikuwa ukipewa huo unyumba unautendea haki?? Au ndio mkeo anatoa mwisho wa siku anakuwa dissapointed hadi anaona bora ajitunzie kibubu chake tuuu. Wewe ndio wa kumfanya muda wote akutamani na atake kukupa kila wakati.

Halafu unamruhusu vipi mkeo ajihusishe na mambo ya waganga unakwama bro.
Shida nikila anapo rudi kwao tu hali ndio inazid badilika maana kwao wanapenda sana mambo ya waganga
 
pole sana kijana wangu, but kunyimwa unyumba au kutotoa ushirikiano mzuri on bed it depends on two things.

1- labda hua humuandai vizuri mkeo (hujui kumuandaa), so anakua bored badala ya kufurahia s3x, hua unamvamia tu umalize ulale, but s3x inategemea sana vile unamuandaa mwenzako.
Kifupi unabore.

2-Anahisi una mchepuko nnje, so anahisi unamsaliti, siwezi sema why anahisi hivo, but maybe alikuona, au alipata habari etc, au pengine unamazoea ya ukaribu usio wa kawaida na some ladies, hivo anakasirika. Wanawake hua tunaumia sana.

Mwisho nikushauri tu, jaribu kumuuliza mkeo anapenda nini mkiwa on bed, jua anachopenda, then uwe unamuandaa vizuri nae afurahi, uwe unambembeleza pia on bed, wanawake hua tunapenda kubembelezwa.

Trust me, atakua anakutaka kila wakati akikuona[emoji4]
Sawa
 
Amekua akininyima unyumba kwa muda sana kila nikihitaji amekua akitoa sababu mara naumwa kichwa mara miguu alaf siku zingine nikifanikiwa kusex nae hua ananipa kama kunisusia wala hajishughulishi si kwa sauti wala vitendo.

Nimeishi nae takriban miaka 5. Watoto wangu ni wadogo sana Mkubwa na miaka 5 mdogo ana miaka 2 .hivi juzi mama yao alinambia kua kwao kuna mganga ametoka Kigoma kuja kuweka kinga kwenye familia yao baada ya hapo mganga akamwambia mama watoto kua siku si nyingi ndoa yenu itavunjika na kwel haijapita siku kadhaa imevunjika.
Una uhakika hao watoto ni wako
 
Fukuza tena ungemwachia na kichwa moja ya pua..kwann akunyime au mganga anamega ..maana hawa kina hawa ,, akili zao wanazjua
 
Amekua akininyima unyumba kwa muda sana kila nikihitaji amekua akitoa sababu mara naumwa kichwa mara miguu alaf siku zingine nikifanikiwa kusex nae hua ananipa kama kunisusia wala hajishughulishi si kwa sauti wala vitendo.

Nimeishi nae takriban miaka 5. Watoto wangu ni wadogo sana Mkubwa na miaka 5 mdogo ana miaka 2 .hivi juzi mama yao alinambia kua kwao kuna mganga ametoka Kigoma kuja kuweka kinga kwenye familia yao baada ya hapo mganga akamwambia mama watoto kua siku si nyingi ndoa yenu itavunjika na kwel haijapita siku kadhaa imevunjika.
Huyo ni mchawi sio bure😂😂😂
 
Ndoa Ina Siri kubwa aah......

Ndoa inaa aah

Ndoa Ina Siri kubwa aah

Ndoa inaa aah.....

Tabasamu langu ni faraja yako Ila wanasema hawajui wanasema.....

Mmmmmh nieke Koo sawa

Mke utamlinda mumeo kwa maombii iih ......

Hilo ni chaguo lako
 
Back
Top Bottom