Nimemuacha mke wangu niliezaa nae watoto wawili

Nimemuacha mke wangu niliezaa nae watoto wawili

Tafuta mchepuko, mlee watoto
Wazo safi sana. Arudiane na shemeji yetu, walee kizazi chao kumbuka hao watoto wakikua wakija kwako kukuliza (kuprove) kwanini baba ulitutelekeza sisi na mama hatowaambia kwamba Alinyimwa uchi.
 
Wazo safi sana. Arudiane na shemeji yetu, walee kizazi chao kumbuka hao watoto wakikua wakija kwako kukuliza (kuprove) kwanini baba ulitutelekeza sisi na mama hatowaambia kwamba Alinyimwa uchi.
Dah kurudiana ngumu sana maana ndio naweza kufa kwa presha
 
Amekua akininyima unyumba kwa muda sana kila nikihitaji amekua akitoa sababu mara naumwa kichwa mara miguu alaf siku zingine nikifanikiwa kusex nae hua ananipa kama kunisusia wala hajishughulishi si kwa sauti wala vitendo.

Nimeishi nae takriban miaka 5. Watoto wangu ni wadogo sana Mkubwa na miaka 5 mdogo ana miaka 2 .hivi juzi mama yao alinambia kua kwao kuna mganga ametoka Kigoma kuja kuweka kinga kwenye familia yao baada ya hapo mganga akamwambia mama watoto kua siku si nyingi ndoa yenu itavunjika na kwel haijapita siku kadhaa imevunjika.
Pole sana ujipangemaisha yasonge
 
Je ulikuwa ukipewa huo unyumba unautendea haki?? Au ndio mkeo anatoa mwisho wa siku anakuwa dissapointed hadi anaona bora ajitunzie kibubu chake tuuu. Wewe ndio wa kumfanya muda wote akutamani na atake kukupa kila wakati.

Halafu

Hili halijaoa..... Mke anaachwa kwasababu nyingi ila sio kunyimwa mchezo... Kama anafanya majukumu mengine unahitaji nini zaidi!!!
Kaka huyo hatakua hajaoa maana ndoa inashikwa na tendo pia heshima na maelewano
 
Back
Top Bottom