MAKONGOLOSII
JF-Expert Member
- Jul 31, 2024
- 413
- 640
Wazo safi sana. Arudiane na shemeji yetu, walee kizazi chao kumbuka hao watoto wakikua wakija kwako kukuliza (kuprove) kwanini baba ulitutelekeza sisi na mama hatowaambia kwamba Alinyimwa uchi.Tafuta mchepuko, mlee watoto
Sasa umeoa Alaf unyumba upate wapi kama mkeo hakupi hio sio ndoa kakaAahhh weee !!!! Yaani unyimwe unyumba then Uvumilie !? Acha basiii
Dah kurudiana ngumu sana maana ndio naweza kufa kwa preshaWazo safi sana. Arudiane na shemeji yetu, walee kizazi chao kumbuka hao watoto wakikua wakija kwako kukuliza (kuprove) kwanini baba ulitutelekeza sisi na mama hatowaambia kwamba Alinyimwa uchi.
Pole sana ujipangemaisha yasongeAmekua akininyima unyumba kwa muda sana kila nikihitaji amekua akitoa sababu mara naumwa kichwa mara miguu alaf siku zingine nikifanikiwa kusex nae hua ananipa kama kunisusia wala hajishughulishi si kwa sauti wala vitendo.
Nimeishi nae takriban miaka 5. Watoto wangu ni wadogo sana Mkubwa na miaka 5 mdogo ana miaka 2 .hivi juzi mama yao alinambia kua kwao kuna mganga ametoka Kigoma kuja kuweka kinga kwenye familia yao baada ya hapo mganga akamwambia mama watoto kua siku si nyingi ndoa yenu itavunjika na kwel haijapita siku kadhaa imevunjika.
Dah Ningelijua mapema AseeUngetafuta tu mchepuko
SawaPole sana ujipangemaisha yasonge
Hili halijaoa..... Mke anaachwa kwasababu nyingi ila sio kunyimwa mchezo... Kama anafanya majukumu mengine unahitaji nini zaidi!!!Vijana sijui mnafeli wapi,
Aisee Unavunja vipi ndoa Kwa kunyimwa unyumba?
Je ulikuwa ukipewa huo unyumba unautendea haki?? Au ndio mkeo anatoa mwisho wa siku anakuwa dissapointed hadi anaona bora ajitunzie kibubu chake tuuu. Wewe ndio wa kumfanya muda wote akutamani na atake kukupa kila wakati.
Halafu
Kaka huyo hatakua hajaoa maana ndoa inashikwa na tendo pia heshima na maelewanoHili halijaoa..... Mke anaachwa kwasababu nyingi ila sio kunyimwa mchezo... Kama anafanya majukumu mengine unahitaji nini zaidi!!!