Nimemuacha mkurya rasmi

HAHAAAHAAAA! Mimi tenaaaaaaaaa! Nimewaachia ZOA ZOA LYUMBAZ WA JF MSWATI PHYLOSOPHER! Nashukuru huku NIKO PEKE YANGUUUUU! Alihamdullilah!

Hutaki kupangwa kama mabehewa ya treni ya mwakyembe wenzio wanapendaa atiiii
 
Mara unafanya kazi mara unasoma yaan huelewwki kama chura
 

am chasing money beibii, si unajuwa kazi na dawa jf kimtindo na hustle kama kawa.
 
Last edited by a moderator:
Vipi hakukupiga?maana nasikia nyie msipopewa kichapo hamwoni raha
 
Hahahahah yan mnajiandikia hovyo sijui hamkusoma ama nini any way siy kosa lenu
 

mmmh ww kumbe unaniita me mkurya hee miaka yote ile sita unaniona zoba haya mamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…