Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
Unaweza kuamini zangu teh:smile-big:Siku hizi siamini story ya mtu humu
HAHAAAHAAAA! Mimi tenaaaaaaaaa! Nimewaachia ZOA ZOA LYUMBAZ WA JF MSWATI PHYLOSOPHER! Nashukuru huku NIKO PEKE YANGUUUUU! Alihamdullilah!
Unaweza kuamini zangu teh:smile-big:
Ha ha ha mi nilifikiri umeacha 🙂
Huyu kagame na Evz wanaundugu?
Mmmmmmh! Hayaaaaaaa!
There is no perfect man, you just take a pretty much average Joe in everything, and MOULD him to anything close to your dreams!
Unless iwe na nyota kali kama mimi kiokota fuko la mihela kwenye maandamano! Piko wa moyo wangu(Hili neno credits kwa Super Model Belinda Mgeni na baby dady wake Msambaa mwenye mahela na binti yao cheupe dawa!) Matola, im missing you every second!
Mara unafanya kazi mara unasoma yaan huelewwki kama chura
Wakuu wangu shikamooni,
Kitambo sijakuja humu lakini shule ilibana na nilikuwa nimechange life style kidogo
Nimemuacha yule mkurya wangu leo rasmi coz nahisi nina matatizo kila wakati analalamika sitekelezi vile anapenda na nimeona nisimpotezee muda bado sihitaji kuwa in seriously relationship moyo wangu hauko tayari.
Nahisi mume wangu bado sijamuona, bado hajazaliwa musinichoshe niacheni nisome au niwamention hapa mnielewe?
Am very sory for dat
Mhnn... Nawe umoMtaje tu hapa;
Wapo wanaotaka michepuko.