Nimemuacha mkurya rasmi

Nimemuacha mkurya rasmi

HAHAAAHAAAA! Mimi tenaaaaaaaaa! Nimewaachia ZOA ZOA LYUMBAZ WA JF MSWATI PHYLOSOPHER! Nashukuru huku NIKO PEKE YANGUUUUU! Alihamdullilah!

Hutaki kupangwa kama mabehewa ya treni ya mwakyembe wenzio wanapendaa atiiii
 
Mara unafanya kazi mara unasoma yaan huelewwki kama chura
 
Mmmmmmh! Hayaaaaaaa!

There is no perfect man, you just take a pretty much average Joe in everything, and MOULD him to anything close to your dreams!

Unless iwe na nyota kali kama mimi kiokota fuko la mihela kwenye maandamano! Piko wa moyo wangu(Hili neno credits kwa Super Model Belinda Mgeni na baby dady wake Msambaa mwenye mahela na binti yao cheupe dawa!) Matola, im missing you every second!

am chasing money beibii, si unajuwa kazi na dawa jf kimtindo na hustle kama kawa.
 
Last edited by a moderator:
Vipi hakukupiga?maana nasikia nyie msipopewa kichapo hamwoni raha
 
Hahahahah yan mnajiandikia hovyo sijui hamkusoma ama nini any way siy kosa lenu
 
Wakuu wangu shikamooni,

Kitambo sijakuja humu lakini shule ilibana na nilikuwa nimechange life style kidogo

Nimemuacha yule mkurya wangu leo rasmi coz nahisi nina matatizo kila wakati analalamika sitekelezi vile anapenda na nimeona nisimpotezee muda bado sihitaji kuwa in seriously relationship moyo wangu hauko tayari.

Nahisi mume wangu bado sijamuona, bado hajazaliwa musinichoshe niacheni nisome au niwamention hapa mnielewe?
Am very sory for dat

mmmh ww kumbe unaniita me mkurya hee miaka yote ile sita unaniona zoba haya mamaa
 
Back
Top Bottom