Nimemuambia wife awe anasuka style hii ya nywele ili ku-save cost, kaishia kunisunya na kunibinulia midomo

wakati unampata ulimkuta anasukua au ananyoa? pambana Mkuu ukilegea soon utakuja na thread hapa unachapiwa mkeo
 
Mimi nimekua navutiwa sana na wanawake wanaosuka nywele za za asili, wanaofunika vichwa vyao na kuvaa nguo zinazo sitiri miili yao, sijawahi kuvutiwa na mwanamke aliesuka nywele za kuunganisha zinasimama kama kajitwishwa ndoo kichwani ukikaa nae karibu ukiangalia ngozi ya kichwa hadi imekua nyekundu kwa kuvutwa vutwa kisa kuunganisha nywele

Alaf unatakiwa uwe mwanaume yani anakusonya unakuja kushtaki jF ilitakiwa umfanye kitu ambacho hata siku nyingine hatarudia kuiinua sauti izidi sauti yako
 
Sijui kwanini lakini wanawake wanaosuka wapo sensitive sana kwenye suala la nywele zao. Mimi pia mpenzi wangu alikataaga kubadilisha mtindo wa kusuka ili kusave garama, yupo radhi asile ila asuke vizuri
 
Hiyo kwangu safi sana, hiyo 5k naiweka kwa miezi mitatu ifike 15k ndo niende saluni ku repair dreads zangu..na nisivyopenda kuvutwavutwa kichwa!! In the mean time utaishi na chizi fresh kwa miezi mitatu.
(NB: sikubaliani kuwa nywele zetu ni kama machizi)

Picha:google
 
Hauna chawa kwel mkuu?
Maana sio kwa huo mzigo kichwani.
 
Ndiyo kusema Ndoa ndoano maana wewe unataka hivi Mke naye anataka hivi.
 
mwache akatae tu kwa kweli

hakuna kitu cha thamani kwa mwanamke kama nywele.

na si ajabu akinyoa ukamchukia tena, ukaona havutii, kawa km mzee

mwisho wa siku unakuja hapa na uzi wa malalamiko, mara ooh mke wangu amekuwa na bichwa km kiberenge...

eb katoe hela ya kusuka kule
 
ila ukiweka wigi ndo unaona chako?? ahahaha wadada asee.
 
ila ukiweka wigi ndo unaona chako?? ahahaha wadada asee.
Sivaagi mawigi nasuka nywele simple but nzuri zisizokera mfano dred hazikeri na sometime nasuka yebo ama nabana mitindo tofauti nywele yangu haina dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…