Nimemuelewa muha ila anajaza ndugu kwake bila kujali uwezo

Nimemuelewa muha ila anajaza ndugu kwake bila kujali uwezo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Bila salamu!

Sifa nyingi anazo, msikivu, mtamu, ana tako, mpambanaji, ana heshima, mvumilivu na kadhalika. Na mimi hapa nimemuelewa, ila kwa sasa tatizo naloliona ni moja tu.

Anajaza ndugu sana kwake. Ananishi chumba na sebule lakini wageni hawakauki. Kwa wiki mara 2 mpaka tatu. Kuna nyakati wanaweza kuwa hata wanne, najiuliza wanalalaje pale.

Bado ni mtu anayejitafuta kimaisha naona kama atachelewa kufanya maendeleo kwa sababu matumizi ya kuhudumia ndugu ni makubwa kuliko kipato. Hata hela anazonichuna nyingi ni za kuzidiwa mahitaji ya nyumbani.

Sasa najiuliza kama tu hapo hana nafasi inakuwa hivyoz akihamia kwangu je si itakuwa kama zahanati?

Naambiwa hapa kwamba ndio tabia za waha. Ni kweli? Mnazimuduje?
 
Bila salamu!

Sifa nyingi anazo, msikivu, mtamu, ana tako, mpambanaji, ana heshima, mvumilivu na kadhalika. Na mimi hapa nimemuelewa, ila kwa sasa tatizo naloliona ni moja tu.

Anajaza ndugu sana kwake. Ananishi chumba na sebule lakini wageni hawakauki. Kwa wiki mara 2 mpaka tatu. Kuna nyakati wanaweza kuwa hata wanne, najiuliza wanalalaje pale.

Bado ni mtu anayejitafuta kimaisha naona kama atachelewa kufanya maendeleo kwa sababu matumizi ya kuhudumia ndugu ni makubwa kuliko kipato. Hata hela anazonichuna nyingi ni za kuzidiwa mahitaji ya nyumbani.

Sasa najiuliza kama tu hapo hana nafasi inakuwa hivyoz akihamia kwangu je si itakuwa kama zahanati?

Naambiwa hapa kwamba ndio tabia za waha. Ni kweli? Mnazimuduje?
Hao ni wale waliotoka kijijini bado wanayo hio mindset. Ila kama yupo mjini kitambo si kweli
 
Bila salamu!

Sifa nyingi anazo, msikivu, mtamu, ana tako, mpambanaji, ana heshima, mvumilivu na kadhalika. Na mimi hapa nimemuelewa, ila kwa sasa tatizo naloliona ni moja tu.

Anajaza ndugu sana kwake. Ananishi chumba na sebule lakini wageni hawakauki. Kwa wiki mara 2 mpaka tatu. Kuna nyakati wanaweza kuwa hata wanne, najiuliza wanalalaje pale.

Bado ni mtu anayejitafuta kimaisha naona kama atachelewa kufanya maendeleo kwa sababu matumizi ya kuhudumia ndugu ni makubwa kuliko kipato. Hata hela anazonichuna nyingi ni za kuzidiwa mahitaji ya nyumbani.

Sasa najiuliza kama tu hapo hana nafasi inakuwa hivyoz akihamia kwangu je si itakuwa kama zahanati?

Naambiwa hapa kwamba ndio tabia za waha. Ni kweli? Mnazimuduje?
Kikubwa ushamwelewa, sio single maza?
 
Bila salamu!

Sifa nyingi anazo, msikivu, mtamu, ana tako, mpambanaji, ana heshima, mvumilivu na kadhalika. Na mimi hapa nimemuelewa, ila kwa sasa tatizo naloliona ni moja tu.

Anajaza ndugu sana kwake. Ananishi chumba na sebule lakini wageni hawakauki. Kwa wiki mara 2 mpaka tatu. Kuna nyakati wanaweza kuwa hata wanne, najiuliza wanalalaje pale.

Bado ni mtu anayejitafuta kimaisha naona kama atachelewa kufanya maendeleo kwa sababu matumizi ya kuhudumia ndugu ni makubwa kuliko kipato. Hata hela anazonichuna nyingi ni za kuzidiwa mahitaji ya nyumbani.

Sasa najiuliza kama tu hapo hana nafasi inakuwa hivyoz akihamia kwangu je si itakuwa kama zahanati?

Naambiwa hapa kwamba ndio tabia za waha. Ni kweli? Mnazimuduje?
Niliwahi kuwa na mpangaji Muha, ana chumba kimoja.
Alikuwa anaishi
1.yeye, ni kijana wa miaka kama 30 by then
2.mdogo wake wa kike, kama ana miaka 25
3.mdogo wake wa kiume, alikuwa anasoma form 5
4. kakake mkubwa, alikuwa ana miaka zaidi ya 35 na kuna siku alikuja mama yao anaugua alikuja na katoto ka dada yao.
Chumba kimoja ambacho hakina hata choo.
 
Niliwahi kuwa na mpangaji Muha, ana chumba kimoja.
Alikuwa anaishi
1.yeye, ni kijana wa miaka kama 30 by then
2.mdogo wake wa kike, kama ana miaka 25
3.mdogo wake wa kiume, alikuwa anasoma form 5
4. kakake mkubwa, alikuwa ana miaka zaidi ya 35 na kuna siku alikuja mama yao anaugua alikuja na katoto ka dada yao.
Chumba kimoja ambacho hakina hata choo.
Haaaaa
 
Waha ni wachapakazi...wanawake Kwa wanaume..akileta ndugu tafuta biashara uwaaajiri....wanakuja kutafuta Tu maisha...mpe Duka akileta ndugu analeta cheap labour....Wengi wakikaa vizuri wanahama...waha sio omba omba ..
Ulweli mtupu chukua maji kwa mangi unywe maana jusi hazipatikani sababu sukari ni anasa.
 
Back
Top Bottom